Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
- Thread starter
- #21
Aaah! Sema kwenye kigoli Tena watu hawajambo kufwatilia mtu anafanya Nini niliwafanyaga nilikua nauza goli moja la home aaah kwanza kwenye magoli watu wanapenda story ile mbaya utashangaa mtu umechili zako anakuja mtu anakupumzikia ile mbaya aiseeKwa ule msako wa panya road mkuu nakushauri weka na kigoli cha uwakala wa TTCL nje obvious TPesa haina watu[emoji38] watakuja kukuchoma hao wakiona unapendeza na utoki kazini