Blood group AB

Sasa mbona me napenda vichachu? Nasikia raha nikila limao πŸ˜’
 
Ninachokipenda kwa group AB ni kwamba unapokea damu kutoka kwa group lolote ila kuchangia unawachangia AB wenzako tu. Unyama sana [emoji847][emoji847]
 
Mtoa uzi muongo,mbona mimi ni AB lakini hesabu form four niilipata C
 
Mtoa uzi muongo,mbona mimi ni AB lakini hesabu form four niilipata C
Kwani tukisema watu fulani wana maendeleo sana kwani tunamaanisha wote?

Kma umesoma na unajua maana ya research basi hutopata tabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…