yeap una andika barua kwa mwanasheria mkuu wa serikali akikubali unahamaHivi kuna uwezekano wa mtu kuhama group...?
Fuata upinde wa mvuaHivi kuna uwezekano wa mtu kuhama group...?
Sasa mbona me napenda vichachu? Nasikia raha nikila limao πHizo ni Myth my dear hakuna kitu kama hicho, na kuna wengine walisema O ni Carrier wa hivyo virus yaan wao wanaambukiza lakini hawapati dalili wala magonjwa, sio kweli....
Halafu nyie wa group O mnasumbuliwa sana na maradhi ya Ngozi na Ulcers mna Acid nyingi na hamshauriwi kutumia vyakula vyenye uchachu.
ππππ sawa dear, nitasomaLitakukuta jambo siku, jaribu kujisoma type ya group yako, vyakula vya kula na usivyotakiwa kula
Kwani tukisema watu fulani wana maendeleo sana kwani tunamaanisha wote?Mtoa uzi muongo,mbona mimi ni AB lakini hesabu form four niilipata C