nkyalomkonza
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 1,154
- 444
Magroup yanasaidia nini ...?lakwangu halipo ...
Mbona wote ni wenye sifa nzuri?
Je wakorofi na wenye sifa opposite wako group gani?
Mbona wote ni wenye sifa nzuri?
Je wakorofi na wenye sifa opposite wako group gani?
Kumbe tupo wote mimi Group hilo hilo Group 0+ Sisi wenye Group hilo kazi yetu kuwasaidia watu siku zote kazi kweli ipo hapo.aisee yawezekana ni kuna ukweli mimi ni O+
blood group A+
Vipimo Feki hivyo nenda kapime Katika Hospitali kuu ya Muhimbili utajuwa upo Group gani wewe.mie group langu halieleweki.
Kila nikipima napata majibu tofauti(AB+, A+, O+ na O-)
blood group A+ Good Leadership ukigombea uongozi unaweza kupata na unakuwa kiongozi Mzuri sana bibie hongera kwa Group lako la damu.blood group A+
Pole sana jaribu kupata punje ndogo kama ya mtama shubiri isage kisha uchanganye na maji nusu glasi unywe atakuacha huyo mdudu wa porini (Ngiri) kwa muda huku unajianda kwenda kumtoa hospitalini pole sana achana na Chama chenu cha chapuwata..............almaalim wangu MziziMkavu msaada wako tafadhali sijui ni mdudu wa porini ananiadhiri huku. . . .yani toka juzi nimekamatwa kazi hazifanyiki ni maumivu upande wa kulia wa kibofu, na korodani ya kulia imepanda juu kidogo lakini ckuwah kuumwa hii kitu ndo mara ya kwanza. Walinambia nichemshe mwa40, cjui nitafune mizz gan lakin wapi. . .msaada wako tafadhali
n.b- mm ni mwanachama hai wa chawaputa....no jokes.
Mkuu mimi nikiweka kitu chochote hapa kwenye hili Jukwaa la JF.Doctor huwa siweki kitu cha Joke ondosha wasiwasi kabisa hii sio joke ni kweli kabisa ukiamini au usiamini hilo silo suala langu.MziziMkavu, this is obviously a medical or scientific joke sio mkuu?
Maana it is hardly an observation let alone a research.
Nafikiri ni vizuri uwaambie wadau kuwa that info is not credible si unajua unaaminika sana anga hizi mheshimiwa.
Pole sana jaribu kupata punje ndogo kama ya mtama shubiri isage kisha uchanganye na maji nusu glasi unywe atakuacha huyo mdudu wa porini (Ngiri) kwa muda huku unajianda kwenda kumtoa hospitalini pole sana achana na Chama chenu cha chapuwata..............
Shubiri Aloe Vera gum.