Aisee this very interesting observations!! Nimevutiwa na jinsi huyo jamaa alivyohangaika kutafuta ukweli wa suala hilo, jambo ambalo wengi wetu hatupendi kuhangaika. Kama members wengi humu JF tungekuwa tunahangaika kiasi hiki na kuja na habari zenye utafiti wa kina nakuhakikishia hii forum ingetisha!!! Kitu kingine ambacho nina uhakika nacho ni kwamba pamoja na uzi huu kuwa na taarifa hii hautapata wachangiaji wengi.
Inawezekana huyo baba naye yumo jf! Wataalamu wa hayo mambo watakuja kukuelimisha, kasheshe litaibuka iwapo jibu likawa kinyume na mategemeo yako!
nakosa amani mwenzenu naomba ushauri wenu.ni kweli lazima mtoto afuate group blood kwa baba?
Huyo mumeo aacha magirini yake, kama hakwenda shule umaamuma wake asiulete hadi ndoani.
Si lazima mtoto afuate blood group ya mzazi wa kiume, anaweza kurithi ya upande wowote.
Si lazima mtoto afuate blood group ya mzazi wa kiume, anaweza kurithi ya upande wowote.
Ingawaje hii kesi yako inaweza ikaleta taharuki subiri kidogo nitakuwekea hapa namna mtoto anavyorithi makundi ya damu
aisee ni mda tukilumbana kuhusu hili sualajamaa Vipi huyo? group ya damu mbona sio tatizo labda aseme lingine ....
XY(AB) XX(O)
XX XY(ab) XX XY(o)
Huyo mtoto ni wa mmeo
unauhakika hukuchepuka??
naomba niende kwenye mada moja kwa moja. mimi ni mwanamke nimeolewa miaka mitano iliyopita na tuna mtoto mmoja na huyu mume wangu tatizo hasa lakuomba ushauri kwenu ni mume haamini kama huyu mtoto ni wake coz tulipima blood group na mtoto ana group o positive, ambapo mimi na mwanangu tupo group moja yaan hiyo o. na babake ana group AB . sasa babaake anasema mtoto c wake haiwezekani mtoto awe group 0 nawakati yeye ni group AB nakosa amani mwenzenu naomba ushauri wenu.ni kweli lazima mtoto afuate group blood kwa baba?
ntashukuru mkuu
Huyo jamaa nae anaishi dunia gani?naomba niende kwenye mada moja kwa moja. mimi ni mwanamke nimeolewa miaka mitano iliyopita na tuna mtoto mmoja na huyu mume wangu tatizo hasa lakuomba ushauri kwenu ni mume haamini kama huyu mtoto ni wake coz tulipima blood group na mtoto ana group o positive, ambapo mimi na mwanangu tupo group moja yaan hiyo o. na babake ana group AB . sasa babaake anasema mtoto c wake haiwezekani mtoto awe group 0 nawakati yeye ni group AB nakosa amani mwenzenu naomba ushauri wenu.ni kweli lazima mtoto afuate group blood kwa baba?
Kabla ya kukupa majibu una uhakika wa hizo Blood Group ulizotutajia? kwamba wewe ni O na mumeo ni AB?