muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Aisee samahani lkn! Kwa elimu yangu ndogo nahisi huyo mtoto si wa mumeo! Group AB ni dominant na wewe ni group OO ni recessive! Sasa nategemea watoto wenu wote wataangukia kwenye group A na B tu. Duh, ngoja wataalam zaidi waje hapa!!
naomba niende kwenye mada moja kwa moja. mimi ni mwanamke nimeolewa miaka mitano iliyopita na tuna mtoto mmoja na huyu mume wangu tatizo hasa lakuomba ushauri kwenu ni mume haamini kama huyu mtoto ni wake coz tulipima blood group na mtoto ana group o positive, ambapo mimi na mwanangu tupo group moja yaan hiyo o. na babake ana group AB . sasa babaake anasema mtoto c wake haiwezekani mtoto awe group 0 nawakati yeye ni group AB nakosa amani mwenzenu naomba ushauri wenu.ni kweli lazima mtoto afuate group blood kwa baba?