Bloomberg: Marekani 'kimyakimya' yaiomba Urusi iiuzie mbolea zaidi ili Marekani iweze kuzalisha mazao kwa biashara na pia iepuke njaa mwaka ujao

Bloomberg: Marekani 'kimyakimya' yaiomba Urusi iiuzie mbolea zaidi ili Marekani iweze kuzalisha mazao kwa biashara na pia iepuke njaa mwaka ujao

Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.

Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.

View attachment 2259733View attachment 2259734
Wasiuziwe mpaka waombe hadharani wanajifichaficha nini kenge hao
 
Ningemwambia Biden aombe mzigo mbele ya Camera asilete umama [emoji16][emoji16][emoji16] yani US imekuwa kama Chadema sahizi
Eu kwa sasa wameanza kuonja shida ya Ngano, Kwa sasa supply chain ya Ngano Ulaya imekuwa shida. Canada haiwezi kulisha dunia kwa ngano yake.
Very soon Ulaya wataenda kimya kimya kutafuta ngano Russia
 
Eu kwa sasa wameanza kuonja shida ya Ngano, Kwa sasa supply chain ya Ngano Ulaya imekuwa shida. Canada haiwezi kulisha dunia kwa ngano yake.
Very soon Ulaya wataenda kimya kimya kutafuta ngano Russia
Hahahah watatuma mwakilishi akaombe poo maana ngano ya Ukraine ndio ilikuwa inawapa kiburi.
 
US anachotaka ni uranium iliyorutubishwa iingie nchi kwake halafu takataka za hatari zinazobaki wabaki nazo wengine wakipambana nazo.
Tayari upepo umepuliza na Sasa tumeona nyeti za kuku.
Tuliambiwa miaka mingi Russia hna kitu,ni masikini.
Lakini wajanja tukikataa,kumbe tuliona mbali Sasa Leo boxer zimewavuka.
Kumbe Urusi sio TU ni matajiri Bali pia Wana tech adimu sana,wengine hawana.
Mimesoma pia hata uranium.
Russia ana muuzia uranium iloyorutubishwa kwa ajili ya umeme ndugu Marekani.
Nasikia Russia akigoma TU. Baadhi ya sehemu huko USA watawasha Koroboi aka vibatali.
 
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.

Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.

View attachment 2259733View attachment 2259734
USA ana hamu sana kuona EU ikiwa dhaifu. Anajua ikiwa EU ikapata nguvu ni tishio kwake. Ila kwa hii vita yaani kawaacha uchi
 
Atamuuzia nani sasa asipowauzia matajiri?
Atapata wapi pesa za kulisha watu wake?
Oligarchs watapata wapi pesa za kufanya starehe?
Wasiuziwe mpaka waombe hadharani wanajifichaficha nini kenge hao
 
Kwani gesi wananua kimya kimya??
Eu kwa sasa wameanza kuonja shida ya Ngano, Kwa sasa supply chain ya Ngano Ulaya imekuwa shida. Canada haiwezi kulisha dunia kwa ngano yake.
Very soon Ulaya wataenda kimya kimya kutafuta ngano Russia
 
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.

Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.

View attachment 2259733View attachment 2259734
Harafu kuna mafala huku Tanzania yanamlaumu mh.Rais Kwa kesi kama Hizi.
 
Back
Top Bottom