Bloomberg: Putin azikusanya China na India nchini Urusi kwa mazoezi ya kivita akiibeza Marekani

Bloomberg: Putin azikusanya China na India nchini Urusi kwa mazoezi ya kivita akiibeza Marekani

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Bloomberg yasema kuwa Putin kayakusanya mataifa makubwa duniani, China na India, kwenye mazoezi ya kivita ya kimataifa ya Vostok-2022 yanayofanyika Urusi kwa wiki 1.

Bloomberg yasema hatua hiyo ya Putin kuyakusanya mataifa makubwa nchini Urusi inazizodoa na kuzivunjavunja jitihada za Marekani na mashoga zake za kutaka Urusi itengwe na mataifa mengine duniani kutokana na uvamizi wake nchini Ukraine.

Aidha Bloomberg imedokeza kuwa mazoezi hayo yanayoanza alhamisi leo yanahusisha wanajeshi zaidi ya 50,000 na mashine za kivita zaidi ya 5,000 zikiwemo ndegevita zaidi ya 140 na melivita zaidi ya 60. Mazoezi hayo yatahusisha pia mazoezi ya kivita ya majeshi ya maji (navy) kwenye bahari ya Japan.
======

Putin Brings China and India to Russia for War Games Defying US​

  • India sends small contingent to Vostok-2022 military exercises
  • More than 50,000 troops to take part in the week-long drills
Russia is holding major military exercises involving China and India as President Vladimir Putin pushes back against attempts by the US and its allies to isolate him over his invasion of Ukraine.

More than 50,000 troops and 5,000 pieces of military equipment, including more than 140 aircraft and 60 warships, are due to take part in the week-long Vostok-2022 war games that start Thursday in Russia’s far east, including naval drills in the Sea of Japan.

 
Wakati huohuo mwezi October India na USA watafanya mazoezi ya kijeshi kuibeza China[emoji23]
India alishaamua hapangiwi....kapigwa mikwara kununua wese la mrusi akaendelea kama vile hamna alichoambiwa.........na wa upande wa pili wakija na jambo lenye maslahi kwake anatembea nalo tu.....haya mambo kama mturuki tu yupo NATO ila hataki kupelekeshwa
 
Tayari mazoezi makali yameanza kati ya China Russia na washirika wao [emoji635]
Screenshot_20220901-103155.jpg



Comment

MOSCOW — Russia on Thursday launched weeklong war games involving forces from China and other nations in a show of growing defense cooperation between Moscow and Beijing as they both face tensions with the U.S.

The maneuvers are also intended to demonstrate that Moscow has sufficient military might for massive drills even as its troops are engaged in military action in Ukraine.

The Russian Defense Ministry said that the Vostok 2022 (East 2022) exercise will be held until Sept. 7 at seven firing ranges in Russia’s Far East and the Sea of Japan and involve more…

Continue Reading


News Source: https://www.washingtonpost.com/worl...78e8b2-29bf-11ed-a90a-fce4015dfc8f_story.html
 
Wakati huohuo mwezi October India na USA watafanya mazoezi ya kijeshi kuibeza China[emoji23]
India hataki kupangiwa India ni Moja ya mataifa yenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiuchumi unapukuwa na taifa Lenye Hali kama hiyo halafu ukawa unapangiwa jinsi ya kuendesha nchi Yako huwezi kuwa na ushawishi ktk medani za kisiasa za kimataifa ndio maana India hataki kusikia huo ujinga
 
India hataki kupangiwa India ni Moja ya mataifa yenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiuchumi unapukuwa na taifa Lenye Hali kama hiyo halafu ukawa unapangiwa jinsi ya kuendesha nchi Yako huwezi kuwa na ushawishi ktk medani za kisiasa za kimataifa ndio maana India hataki kusikia huo ujinga
dunia anayoitaka India labda ajitahid kuwa superpower ila km taifa imara zaid yao bas lzm wakubali kuwa wataambiwa tu nini cha kufanya
 
dunia anayoitaka India labda ajitahid kuwa superpower ila km taifa imara zaid yao bas lzm wakubali kuwa wataambiwa tu nini cha kufanya
Kuambiwa sio shida ila nn watafanya baada kuambiwa ndio ttzo
Kwan hata nishati si waliambiwa ila nn walifanya baada yakuambiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom