heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Sijaelewa hapo ulipogundua kuwa ni blueband ndio imesababisha kauvimbe!!!!!!!!
na uhakika ndo hiyo maana nilivyo anza kuitumia na uvimbe ukawa unaanza taratibu
unaitaji ukamuone daktar maana unga wa ulezi unakua na mchanganyiko wa nafaka nyingi sana wengine wanaweka adi dagaa.sasa kama kuna kitu hampatani nacho ni rahis kukusababishia mauvimbe na hata muwasho mkali
nimtumiaji wa bluband sio sana ila naona imeniletea aleji flani hivi
nimetokwa na uvimbe kama jibu karibu na dushe pale kwenye bustani kwa pembezoni
nini athari yake na dawa maana linaninyima raha
msaada wana jF plz
Cheki Na MBUPU Zako Pia Yawezekana Ukawa Na Tezi Dume.
zikiwaje mkuu