heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
nimtumiaji wa bluband sio sana ila naona imeniletea aleji flani hivi
nimetokwa na uvimbe kama jibu karibu na dushe pale kwenye bustani kwa pembezoni
nini athari yake na dawa maana linaninyima raha
msaada wana jF plz
nimetokwa na uvimbe kama jibu karibu na dushe pale kwenye bustani kwa pembezoni
nini athari yake na dawa maana linaninyima raha
msaada wana jF plz