Blueprint 3

Blueprint 3

Hivi huyu Hova nani bado anamsikiliza?

Prediction: He won't go platinum in the first week like Weezy did. Nani anabisha?
 
he is baaack ..... But i guess prediction za Ngabu zitatimia!
 
I think this Rocafella need to drop a mix-tape immediately after this album drop, and call it the real BP3 because so far the songs I'm hearing is garbage.

Lets take 'Run this town' as an example, Kanye murders him on his own ish, its now clear that after Hova kicked Dame Dash to the curb, he's been releasing nothing but garbage(KINGDOM COME GARBAGE, AMERICAN GANGSTA, BELOW AVERAGE, BLUEPRINT 3 SO FAR GARBAGE, Does he really think these last 3 albums compare to any three albums he has ever done????)

I think this is his 11th solo album, he'll prolly gonna be #1 on the charts in the first week of sales. despite this, he needs to put the mic down and give it a rest (Ni99a'ss almost 90), maybe father some kids with Be.. But what do I know.
 
Hivi huyu Hova nani bado anamsikiliza?

Prediction: He won't go platinum in the first week like Weezy did. Nani anabisha?

Mimi naona hizo 'predictions' zako ni "VAPOUR"
Mchizi bado yuko juu katika ulimwengu huu wa Hip-hop na atoa pini kali kinoma zenye flavour za ki-real hip hop, ki-hardcore, street vession, commercial-hip hop na duet za kubwaga zenye mvuto wa kusikiliza na messages kwa jamii.
He is HOVA,.. A BIG BOY., a grandMaster of hip-hop yester,today and forever stays in the top.
Mchizi vision yake ni ku-rise up under grounds waingie katika the world of hip hop or r&b hip-hop na hiyo ndio inampa heshima kubwa sana united state kuliko hicho unachodhania kupewa 'platimum' mfano mzuri Ryahana, Jadakiss na wengine wengi. Kwa kusaidia jamii especially undergrounds ata amechaguliwa kuwa Balozi wa umoja wa Mataifa hii ni heshima kubwa sana na haitolewi tuu hivihivi wana angalia a positive contrbutions to the society.
Hata wanamuziki maarufu kama the late MJ ( Michael jackson) hakupewa heshima kubwa ya kuwa balozi wa umoja wa mataifa kama aliyonayo Mchizi JIGGAR JAY-Z!
 
Mimi naona hizo 'predictions' zako ni "VAPOUR"
Mchizi bado yuko juu katika ulimwengu huu wa Hip-hop na atoa pini kali kinoma zenye flavour za ki-real hip hop, ki-hardcore, street vession, commercial-hip hop na duet za kubwaga zenye mvuto wa kusikiliza na messages kwa jamii.
He is HOVA,.. A BIG BOY., a grandMaster of hip-hop yester,today and forever stays in the top.
Mchizi vision yake ni ku-rise up under grounds waingie katika the world of hip hop or r&b hip-hop na hiyo ndio inampa heshima kubwa sana united state kuliko hicho unachodhania kupewa 'platimum' mfano mzuri Ryahana, Jadakiss na wengine wengi. Kwa kusaidia jamii especially undergrounds ata amechaguliwa kuwa Balozi wa umoja wa Mataifa hii ni heshima kubwa sana na haitolewi tuu hivihivi wana angalia a positive contrbutions to the society.
Hata wanamuziki maarufu kama the late MJ ( Michael jackson) hakupewa heshima kubwa ya kuwa balozi wa umoja wa mataifa kama aliyonayo Mchizi JIGGAR JAY-Z!

Men lie, women lie, numbers don't! Tusubiri 9/11
 
Mimi naona hizo 'predictions' zako ni "VAPOUR"
Mchizi bado yuko juu katika ulimwengu huu wa Hip-hop na atoa pini kali kinoma zenye flavour za ki-real hip hop, ki-hardcore, street vession, commercial-hip hop na duet za kubwaga zenye mvuto wa kusikiliza na messages kwa jamii.
He is HOVA,.. A BIG BOY., a grandMaster of hip-hop yester,today and forever stays in the top.
Mchizi vision yake ni ku-rise up under grounds waingie katika the world of hip hop or r&b hip-hop na hiyo ndio inampa heshima kubwa sana united state kuliko hicho unachodhania kupewa 'platimum' mfano mzuri Ryahana, Jadakiss na wengine wengi. Kwa kusaidia jamii especially undergrounds ata amechaguliwa kuwa Balozi wa umoja wa Mataifa hii ni heshima kubwa sana na haitolewi tuu hivihivi wana angalia a positive contrbutions to the society.
Hata wanamuziki maarufu kama the late MJ ( Michael jackson) hakupewa heshima kubwa ya kuwa balozi wa umoja wa mataifa kama aliyonayo Mchizi JIGGAR JAY-Z!

Mchizi wangu wamfagilia Jigga sana, lakini makali yake yamepungua kinoma, uki linganisha album zake za zamani na hizi latest zake utaona ambacho nasema.. Jamaa alijideclare God MC, ikamuingia kichwani, akawacha kuandika mistari na akaanza kufree style kwenye albums zake.

Jay alikuwa mkali, saa hizi mimi simpi skio, labda nimskize protegee wake, Drake.
 
Mchizi wangu wamfagilia Jigga sana, lakini makali yake yamepungua kinoma, uki linganisha album zake za zamani na hizi latest zake utaona ambacho nasema.. Jamaa alijideclare God MC, ikamuingia kichwani, akawacha kuandika mistari na akaanza kufree style kwenye albums zake.

Jay alikuwa mkali, saa hizi mimi simpi skio, labda nimskize protegee wake, Drake.

smatta! Mpe shavu Mchizi Jiggar.

Jiggar sasa hivi yeye ni kama chachu ( catalyst) katika Hip-hop industry,anaishikilia hip-hop isiyumbe au kuporomoka kama kwetu hapa jinsi hip-hop ilivyokosa muelekeo kwa kuzaliwa Bongo-flavour!
Jiggar! kipindi fulani alitangaza kuacha kabisha kushika MIC na kutoa album yake ya mwisho ya H.O.V.A na kubakia Rais wa kampuni yake ya RocaFella ilyojikita katika mavazi.
Mchizi anaona hip-hop inakwenda Mrama ndio maana anajaribu kuja kivingine kidogo ili kuiokoa HIP-HOP, kama walivyofanya wakina KRS-ONE, DAS-EFX na LORDS OF UNDERGROUND miaka hiyo ya zamani kidogo ndio wakazaliwa watu kama akina JAY-Z, METHOD MAN,RED MAN and NAS na Machizi kibao wanaofanya Hip-Hop ya UKWELI.
Mchizi anakuja kivingine sana katika Album yake na itakuwa kali sana.,kuna pini kali sana la 'Run this Town' aliyowashilikisha watu kama KANYE WEST na RIHANNA, hapo utaona yeye ana- act like a catalyst anawapa shavu akina rihanna na kanye wafanye The real HIP-HOP.
 
smatta! Mpe shavu Mchizi Jiggar.

Jiggar sasa hivi yeye ni kama chachu ( catalyst) katika Hip-hop industry,anaishikilia hip-hop isiyumbe au kuporomoka kama kwetu hapa jinsi hip-hop ilivyokosa muelekeo kwa kuzaliwa Bongo-flavour!
Jiggar! kipindi fulani alitangaza kuacha kabisha kushika MIC na kutoa album yake ya mwisho ya H.O.V.A na kubakia Rais wa kampuni yake ya RocaFella ilyojikita katika mavazi.
Mchizi anaona hip-hop inakwenda Mrama ndio maana anajaribu kuja kivingine kidogo ili kuiokoa HIP-HOP, kama walivyofanya wakina KRS-ONE, DAS-EFX na LORDS OF UNDERGROUND miaka hiyo ya zamani kidogo ndio wakazaliwa watu kama akina JAY-Z, METHOD MAN,RED MAN and NAS na Machizi kibao wanaofanya Hip-Hop ya UKWELI.
Mchizi anakuja kivingine sana katika Album yake na itakuwa kali sana.,kuna pini kali sana la 'Run this Town' aliyowashilikisha watu kama KANYE WEST na RIHANNA, hapo utaona yeye ana- act like a catalyst anawapa shavu akina rihanna na kanye wafanye The real HIP-HOP.
Mheshimiwa,
skiza basi hiyo album kwenye hii site, facezook.com, kisha uniambie kama huyu ndie ule young alietupatia dirt of yo shoulder.. Aliweka bar too high hata kwake mwenyewe.
 
Jay Z hajawahi kuuza platinum kwenye wiki ya kwanza.
 
Mchizi wangu wamfagilia Jigga sana, lakini makali yake yamepungua kinoma, uki linganisha album zake za zamani na hizi latest zake utaona ambacho nasema.. Jamaa alijideclare God MC, ikamuingia kichwani, akawacha kuandika mistari na akaanza kufree style kwenye albums zake.

Jay alikuwa mkali, saa hizi mimi simpi skio, labda nimskize protegee wake, Drake.

Jay Z hajawahi kuandika mistari, uwa anadeliver kutoka kichwani moja kwa moja, tafuta interview ya Timbaland kuhusu Black Album ilivyotengenezwa. Over all Album ni nzuri kulinganisha na garbage ya Fabulous.

Mheshimiwa,
skiza basi hiyo album kwenye hii site, facezook.com, kisha uniambie kama huyu ndie ule young alietupatia dirt of yo shoulder.. Aliweka bar too high hata kwake mwenyewe.

Muda unakwenda unabadirika na watu wanabadirika, huwezi kuimba vitu vile miaka 13 baadaye, kumbuka washabiki na wapenzi wa muziki wa Jay Z nao wamekua.
 
Coming from someone who quotes from Hov's earlier albums as liberally as some people quote from Shakespeare and Marcus Aurelius, this album stinks like gargabe. I mean I can't even say it will grow on me.

Im going back to pump some more "Loso's Way" for now.
 
Classic Jigga ni Reasonable Doubt na ile yenye nyimbo za big pimpin na hard knock life. The rest is junk.
 
Last edited:
That's a reminder....numbers don't lie!
Only dudes movin units...
 
Take your time and listen to THE BLUE PRINT and let me know if you still think the same.
My favs no.6 U don't know and 9. Never change.
 
Toka lini first week platinum status ndio ikawa kigezo cha success ya album? When did the standards get so high? Only 3 or 4 rappers to have managed that feat and Y'all act like the rest of the game is garbage...
 
Thanx,
he is not a bussinessman he is a bussiness...........maaan,
 
Toka lini first week platinum status ndio ikawa kigezo cha success ya album? When did the standards get so high? Only 3 or 4 rappers to have managed that feat and Y'all act like the rest of the game is garbage...

Kama wewe ni shabik wa Hip Hop, utakumbuka fiddy cent ndie alianzisha hii upuzi ya numbers, akianza kuambia wenzake wana lay bricks(yani wanauza gold) instead of selling platinum, kuanzia hapo kila mtu akaanza kuweka alot of effort on pushing platinum the first week..

Mimi album ambayo na ibump kwa sana ni Loso's way na hii mpya ya Slaughter House (akina Joe Budd, Joel Ortis, third eye,) thats a classic though ime uza 17 000 first week.

Jigga amekuwa garbage, after postpom=nment ya hii album for so long he still doesnt deliver, it doesnt matter whether he raps from the top of his head or he writes ish down, what fans want to hear is quality.
 
Kama wewe ni shabik wa Hip Hop, utakumbuka fiddy cent ndie alianzisha hii upuzi ya numbers, akianza kuambia wenzake wana lay bricks(yani wanauza gold) instead of selling platinum, kuanzia hapo kila mtu akaanza kuweka alot of effort on pushing platinum the first week..

Mimi album ambayo na ibump kwa sana ni Loso's way na hii mpya ya Slaughter House (akina Joe Budd, Joel Ortis, third eye,) thats a classic though ime uza 17 000 first week.

Jigga amekuwa garbage, after postpom=nment ya hii album for so long he still doesnt deliver, it doesnt matter whether he raps from the top of his head or he writes ish down, what fans want to hear is quality.

U right 50 started it, and Jay himself played a part in this...he says that numbers don't lie BS and people internalize and regurgitate it, so if his album don't go plat first week and is deemed a flop for it he had it coming. I listened to the album, its not half as bad as the reviews would have you believe.

Slaughterhouse is good music, I loved the album, Budden's mixtape too, he's always been interesting to me, Rae leaked too, havent had time to listen to it yet, but heard some solid reviews so I am amped. Generally its good music coming out in the past 2 yrs or so, but cats act like albums are going plat in the first week left right and center.
 
Back
Top Bottom