Bluetooth!!!....LO HII BALAA!

Bluetooth!!!....LO HII BALAA!

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
791
I overheard this story!
A: Umemcheki yule mrembo mshkaji?
B: Da! Ni balaa kaka, mzuri kama jini! Jamani kuna watu wazuri wazuri dunia hii!!
A: Mm huwa namzimia balaa, lakn hata kumpa salamu tu huwa naogopa!
B: aha ha haaa! we pumba kweli!...utamwambia nini huyo ww...!
C: Dah! ningekuwa mchawi wallah ningempigia misele usiku!
A: Au M na K zingekuwa na BLUETOOTH! Unasechi jina tu, kitu kinachoma ndani!

Nilishindwa kujizuia kucheka, wahahaa haha haaa! Kucheka ni dawa jamani

:yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck:
 
I overheard this story!
A: Umemcheki yule mrembo mshkaji?
B: Da! Ni balaa kaka, mzuri kama jini! Jamani kuna watu wazuri wazuri dunia hii!!
A: Mm huwa namzimia balaa, lakn hata kumpa salamu tu huwa naogopa!
B: aha ha haaa! we pumba kweli!...utamwambia nini huyo ww...!
C: Dah! ningekuwa mchawi wallah ningempigia misele usiku!
A: Au M na K zingekuwa na BLUETOOTH! Unasechi jina tu, kitu kinachoma ndani!

Nilishindwa kujizuia kucheka, wahahaa haha haaa! Kucheka ni dawa jamani

:yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck::yuck:
Akina Chris Rock wapo wengi tu dunia hii, kuna watu wanaunga story mpaka inakaribia na ukweli~ha ha ha!.
 
Hahahahaaaaaa.....................................
 
I overheard this story!
A: Umemcheki yule mrembo mshkaji?
B: Da! Ni balaa kaka, mzuri kama jini! Jamani kuna watu wazuri wazuri dunia hii!!
A: Mm huwa namzimia balaa, lakn hata kumpa salamu tu huwa naogopa!
B: aha ha haaa! we pumba kweli!...utamwambia nini huyo ww...!
C: Dah! ningekuwa mchawi wallah ningempigia misele usiku!
A: Au M na K zingekuwa na BLUETOOTH! Unasechi jina tu, kitu kinachoma ndani!

Nilishindwa kujizuia kucheka, wahahaa haha haaa! Kucheka ni dawa jamani

Bluetooth zinazo ni wewe tu kujua unajichoma ndani kivipi........................
 
Bluetooth zinazo ni wewe tu kujua unajichoma ndani kivipi........................
Lolz!
Mm uwa nashangaa, hata tukitofautiana na mama jr mchana, ikifika usiku hawa jamaa wanaelewana tu!...lolz
 
Ha ha haa! Afadhari hata haipo coz nahisi tungekufa wote kwa ukimwi-
lol
 
yani kuringiana kungekwisha na wasiojuakutongoza wangejilia kiulaini ila wangekuwa wanazima bluetooth zao
 
yani kuringiana kungekwisha na wasiojuakutongoza wangejilia kiulaini ila wangekuwa wanazima bluetooth zao

Dah! hapo komesha! ila wataalam wangeshagundua mbinu ya kuvamia na kuwasha remotely!...te teh
 
Back
Top Bottom