BLUMHOUSE - Wakali wa movies za kutisha duniani

BLUMHOUSE - Wakali wa movies za kutisha duniani

Dah we jamaa unakipaji cha kusisimsha akili ya msomaji. Unafaa kuwa na kipindi cha kuelezea movie na kufanya watu wawe na interest ya kuitafuta na kuitazama.

Unanikumbusha miaka ya 1990's kulikuwa na Dada m'moja pale ITV alikuwa anaitwa Manuel kama sio Emanuel Elias, alikuwa anatangaza ratiba ya kipindi kinachofuatia.

Sasa nilikuwa napenda sana akiwa anatoa utambulisho mfupi wa kifuatacho especially movie yaani the way anavyosimulia kwa ufupi anakupa ushawishi wa kuacha kila kitu kutulia na kutazama hiyo movie aiseee na lazima utaipenda.

Nakumbuka alikuwa anaielezea movie ile ya Van damme ya cyborg al maarufu "Van damme Msalabani".

Aaaah aiseee anakupa mzuka balaa.
Kwa sasa kuna jamaa mmoja hivi.
Nae ni underground ila anajua mno
 
corporate_Web-Publishing_Peacock_LionsGateAgreement_16x9_Social.jpg
Lionsgate hawaeleweki wako wapi. Hawana upande mmoja hao. Utawatakuta kwenye vita, mapenzi, drama, thrillers n.k wao wanaenda na IDEA yoyote.

Ila hawa BLUMHOUSE ukiwaona jua ni Horror TU. Kwa mbali anakuja GHOST HOUSE.
 
Mkuu kiufupi we ni hatari unajua sana kuchambua movies aiseee yaani hatare mno..

Naomba kama ushawahi icheki hii immaculate ya yule sister naomba uelezee pia
Kaka, hiyo nishaipitia kitambo tu. Ebu pitia uzi huu.

 
Kaka, hiyo nishaipitia kitambo tu. Ebu pitia uzi huu.

Mkuu wewe hatareee na nusu aiseeee
 
Kaka Blumhouse movie zao kalii sana afu zinafaa uzicheki usiku 😁😂 Kuna hii hush bubu aliupiga sana mwingi
 
Kaka Blumhouse movie zao kalii sana afu zinafaa uzicheki usiku 😁😂 Kuna hii hush bubu aliupiga sana mwingi
Hizi movie ingawa niuongo lakini naziogopa.
Jana nimejaribu kuangalia evil dead rise, naingalia kimachalemachale, kama pale jamaa anakwangulia ngozi na grater hadi mimi nikahisi maumivu.
 
Hizi movie ingawa niuongo lakini naziogopa.
Jana nimejaribu kuangalia evil dead rise, naingalia kimachalemachale, kama pale jamaa anakwangulia ngozi na grater hadi mimi nikahisi maumivu.
Mkuu hizi Raha yake ucheki usiku sana 😂😁😁 nzuri sana hizi
 
Ahsante sana kaka, na mimi nafanya yote haya just for hobby. Hamna ninachoingiza wala kupata but I just enjoy it.

Huku navizia vizia kupost, karibu na Telegram kaka.
Steve natamani ungekuwa kwenye kipindi Cha mkanda pale Azam wewe ni nomaaa kuna ile disk sijui flash unaweka movie nyingi embu niulizie nizijaze nitazame .
 
Back
Top Bottom