Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development


You are among the people who make me think huge and critically.
'am proud of you bro.
 

Nakukubali sana mzee kwenye maswala philosophy na science na technology.
BIG UP
 
Hii thread inachangiwa na watu wanne 2 wenye IDs tofauti..you know what i mean..adios..
 
Hii thread inachangiwa na watu wanne 2 wenye IDs tofauti..you know what i mean..adios..

wewe umejuaje bana? yaani watu kwa kujifanya mnajua....mtu hujui lakini unajifanya unajua wakati deep down unajua hujui....it's beyond me
 
wewe umejuaje bana? yaani watu kwa kujifanya mnajua....mtu hujui lakini unajifanya unajua wakati deep down unajua hujui....it's beyond me

Aaah mnaanza kujishtukia siyo...subiri..Id nyingine inakuja punde.
 
Hii thread inachangiwa na watu wanne 2 wenye IDs tofauti..you know what i mean..adios..

Ingekuwa vizuri zaidi kama ungeenda na spirit ya thread na kuwa precise, ukiwataja watu wanne hao ni kina nani.
 
I have a dream that one day Tanzania will be a precise society whereby:

1. All kinds of traffic will move precisely
2. Policies will be implemented precisely
3. Rule of Law will be upheld precisely

In my dream I saw such a precise Tanzania with a 0.07 margin of error
 

HE HE HE!
what a sweet dream!😀
 
Kweli hili janga la kutokuwa precise sijajitoa, hata mimi nimo - alafu kuna huyo mwingine anauliza ile kule ni 'punctuality' au 'preciseness'! Tutafika?
Naona unashindwa kuweka wazi kati ya punctuality and preciseness...Mfano umetoa mwenyewe lakini umeshindwa kujua umeangukia sehemu gani? Tutafika tu!
 

A dream without a plan is nothing more than a wish!
 
Naona unashindwa kuweka wazi kati ya punctuality and preciseness...Mfano umetoa mwenyewe lakini umeshindwa kujua umeangukia sehemu gani? Tutafika tu!

Bluray kashalijibu hilo swali lako - to be punctual is to be precise and vice versa
 
Naona unashindwa kuweka wazi kati ya punctuality and preciseness...Mfano umetoa mwenyewe lakini umeshindwa kujua umeangukia sehemu gani? Tutafika tu!
huu sisi tunamwelewa tu HIVYO HIVYO!maadam tunajua anakovikurupua hivi vitu HAINA MBAYA!anakuwa anakosea tu kukopi na kupesti!adhawaisi TUNAMUELEWA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…