Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

Bluray and the Role of Preciseness/Precision in Development

I contend that South Africa is more developed than the rest of Africa south of the Sahara because it has the largest population of white inhabitants.

Is that precise enough?
it is very precise,lakini kwa nature ya kazi za watu hapa watataka EVIDENCE!labda watatataka SAMPLE😀
 
Hahahaha sio Mitanzania komredi? maana ukienda Miafrika ya Rwanda ipo tofauti na ya Tanzania ndo maana yanaendelea hivyo hivyo ukienda Miafrika ya S.A nayo imepiga hatua.

Babu, Rwanda haiko tofauti kihivyo na bongo aisee. Unless una data zinazoonyesha kuna accelerated influx of immigrants. Rwanda hakuna nyumba za udongo?
 
Nimeshakuambia kuongea huko kumewezesha watoto wakae kwenye madawati, wapate umeme na watumia kompyuta katika shule yako ya msingi! Hivi ulichanga wewe? Au unakumbukia tu miti ya mikwaju pale Vidudu?

Mimi sijasoma hiyo shule yenu ya Mlimani isiyo hata na umeme. Eti shule ambayo maprofesa wa kibongo wanapeleka watoto wao kusoma haina/ ilikuwa haina umeme hadi mwaka 2009. Shame shame shame!

Sasa changeni mjenge na vyoo
 
A true scenario highlighting the lack of preciseness/precision:

Companero: Una samaki?
Waiter: Ndio wapo!
Companero: Aina gani?
Waiter: Sijui!
Waiter: Sijui ni Changu au Kibua - au ni Sato na Perege!

[A couple of imprecise seconds elapse]

Waiter: Nikuletee?
Companero: [Puzzled!]
Waiter: Ngoja nikaulize!

[Transaction delayed. Time wasted. Development stagnated]
 
Kweli komredi maana siasa za sisi wabongo ni mdomoni tu kufanya matendo tunapiga hatua 2 nyuma kuna watu maskini sana ukienda Monduli watu wana njaa kali nn kifanyike watu bla bla tu. Vp Gym hujaenda?

Gym natinga kesho babu....leo siku ya mapumziko. Kesho nitasukuma uzito kama sina akili nzuri....
 
Pendekezo: Hii mada ingeondolewa hiyo personalization ya Bluray na ibakie tu "The role of preciseness/ precision in development" or soemthing like that.
 
Babu, Rwanda haiko tofauti kihivyo na bongo aisee. Unless una data zinazoonyesha kuna accelerated influx of immigrants. Rwanda hakuna nyumba za udongo?

Kwani sauzi hakuna nyumba za udongo na yale mabanda wanayoyaita 'shacks'?
 
Pendekezo: Hii mada ingeondolewa hiyo personalization ya Bluray na ibakie tu "The role of preciseness/ precision in development" or soemthing like that.

What is the precise rationale of your recommendation?
 
A true scenario highlighting the lack of preciseness/precision:

Companero: Una samaki?
Waiter: Ndio wapo!
Companero: Aina gani?
Waiter: Sijui!
Waiter: Sijui ni Changu au Kibua - au ni Sato na Perege!

[A couple of imprecise seconds elapse]

Waiter: Nikuletee?
Companero: [Puzzled!]
Waiter: Ngoja nikaulize!

[Transaction delayed. Time wasted. Development stagnated]
bahati yako umeiediti post yako!hata hivyo bado sijakukubali!KAWAIDA SANA

mngekuwa na impact ninyi,na hao unaowanadi nchi hii ingepiga hatua
 
What is the precise rationale of your recommendation?

To avoid getting personal and people taking unnecessary digs at Bluray. Just go back a few pages and you'll see some have already started to....
 
I contend that South Africa is more developed than the rest of Africa south of the Sahara because it has the largest population of white inhabitants.

Is that precise enough?

Explicitly precise on your conclusion, but with oversimplified rationale, grotesquely oversimplified rationale. And oversimplification is a form of imprecision.

Precisely how do you gather that whites are the reason SA is where it is and, and even if that is the truth, is it necessarily a good thing given what they did to get there?

Anybody doubting the authenticity of the distinction between myself and Companero should consult the toe to toe combative exchanges we have had over many threads. We have some fundamental irreconcilibities that would warrant an Oscar to any actor capable of feigning such high hats.
 
Bluray, has raised an important question about the importance of being precise. Could this be the precise problem that is inhibiting Tanzania and Tanzanians from developing? If that is the case how do we transform such an imprecise society into a precise one? Is it through civilization and modernization? Does acculturation and adaptation of science and technology bring precision/preciseness? Or?

"By concentrating on precision, one arrives at technique, but by concentrating on technique one does not arrive at precision" - Bruno Walter

Companero, i think the matter of precision is more than that, Bruno walter said it all--- if i understood you correctly, effiency has a bigger mark in our life

Ukisoma all the posts zinazoongea precision etc ni vigumu kupata hiyo precision, simply because there is no denominator, its all about preception and repeartability --- its takes more than precisio to help our motherland

what we need first is efficiency!!! so if its garbage in, the let the garbage out be as close to 100% of the input as possible
 
A true scenario showing how precision/preciseness operates:

Yahoo map: Take Bus 1 from A at 7:00 AM arriving at B at 7:14 AM then take Bus 2 from C at 7:17 AM and arrive at D at 7: 45 AM.

Companero: Took Bus 1 at 7:00 Am arrived at B at 7:15 AM and took Bus 2 at 7:17 on the dot and arrived at D at 7: 44 AM and attended an interview at 8:00 AM sharp.

[Time kept. Energy preserved. Development continued]
 
Back
Top Bottom