binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
BMW 3 series za kununua sahivi ni E46 (1998-2005), E90 (2006-2012), na F30 (20013-2020), kuna G20 kama upo vizuri hii ndio latest.
Kwa model ya 2007 ni E90 ndio BMW 3 series maarufu sana Tanzania. Kama unataka chukua ni nzuri, I owned two of them, ya kwanza nikauza, nikachukua tena.
Make sure ni cc 2500 kwenda juu (6 cylinders), pia kama utaweza iwe 2009 kwenda juu (LCI/facelift) ila sio lazima iwe na Sport package.
Gari zuri kwa ufupi, ila kama ndio 1st car sikushauri.
Unahitaji uwe na gari mbili ndio utainjoi gari za Wazungu. Sio gari inazingua unaisubiria kama kauka nikuvae utakuwa disappointed.Insightful comment mkuu hasa kwa mtu ambaye si mzoefu kama mimi, sio ya kwanza tho. Thank you mkuu.
Hebu nunua kwanza au azima ukae nayo hata wiki ndio uje kuleta haya maneno yako ya kijiweni. Mtu akikusikiliza wewe na akakuamini atapata picha mbaya sana. Ni vizuri sana kitu ukakiongelea kwa experience kuliko kukusanya Stori za vijiweni. Hio hapo VW inaenda mwaka wa nne hakuna taa hata ya brake bulb inayowaka. Na Stori zako eti masika moja chali haya imepita masika tatu na ninakaa uswazi kitu bado kinang'aa. Usiwatie watu woga,mwanaume hakimbii changamoto anapambana nazo. Hio Crown nitaizungumzia siku ingine ila kifupi nikishuka kwenye VW nikiingia kwenye Crown nahitaji siku nzima mpaka nizoee na kuiona ni gari.Gari za mjeruman zina sifa ya kuwa over engineered kitu kinachopelekea complications kibao! Zimeundwa kwa watu wenye pesa za kuchezea kulipa mafundi na maintanance ya bei ghali!
Hii dharau ya std gaugeHebu nunua kwanza au azima ukae nayo hata wiki ndio uje kuleta haya maneno yako ya kijiweni. Mtu akikusikiliza wewe na akakuamini atapata picha mbaya sana. Ni vizuri sana kitu ukakiongelea kwa experience kuliko kukusanya Stori za vijiweni. Hio hapo VW inaenda mwaka wa nne hakuna taa hata ya brake bulb inayowaka. Na Stori zako eti masika moja chali haya imepita masika tatu na ninakaa uswazi kitu bado kinang'aa. Usiwatie watu woga,mwanaume hakimbii changamoto anapambana nazo. Hio Crown nitaizungumzia siku ingine ila kifupi nikishuka kwenye VW nikiingia kwenye Crown nahitaji siku nzima mpaka nizoee na kuiona ni gari.View attachment 1990579View attachment 1990580
True!Unahitaji uwe na gari mbili ndio utainjoi gari za Wazungu. Sio gari inazingua unaisubiria kama kauka nikuvae utakuwa disappointed.
Mkuu hiyo ni dashboard ya Golf MK5? Kuna mshikaji tulisafiri nayo kuileta Arusha huu mwaka wa 6 hajawahi kuhangaika na chochote zaidi ya routine service tu za kawaidaHebu nunua kwanza au azima ukae nayo hata wiki ndio uje kuleta haya maneno yako ya kijiweni. Mtu akikusikiliza wewe na akakuamini atapata picha mbaya sana. Ni vizuri sana kitu ukakiongelea kwa experience kuliko kukusanya Stori za vijiweni. Hio hapo VW inaenda mwaka wa nne hakuna taa hata ya brake bulb inayowaka. Na Stori zako eti masika moja chali haya imepita masika tatu na ninakaa uswazi kitu bado kinang'aa. Usiwatie watu woga,mwanaume hakimbii changamoto anapambana nazo. Hio Crown nitaizungumzia siku ingine ila kifupi nikishuka kwenye VW nikiingia kwenye Crown nahitaji siku nzima mpaka nizoee na kuiona ni gari.
Yes Mk5Mkuu hiyo ni dashboard ya Golf MK5? Kuna mshikaji tulisafiri nayo kuileta Arusha huu mwaka wa 6 hajawahi kuhangaika na chochote zaidi ya routine service tu za kawaida
Usema kweli sijapata shida yoyote na gari ya mjerumani wala hizo wanazo ita miti ya christmass.. kama ambavyo watu wanaongea ongea kitaaNisamehe mkuu...no offence intended...muulize Holy Man kama nisemacho ni uongo.
Karibuni tujuzane kuhusu BMW 3 SeriesInsightful comment mkuu hasa kwa mtu ambaye si mzoefu kama mimi, sio ya kwanza tho. Thank you mkuu.
Asante kwa mualiko, naihitaji hiyo knowledge sana, ama kwa hakika nitapita.
Ukiendesha Mjerumani na hujawakiwa na mti christmass basi dogo bado. Subiri.Usema kweli sijapata shida yoyote na gari ya mjerumani wala hizo wanazo ita miti ya christmass.. kama ambavyo watu wanaongea ongea kitaa
Sio lazima wote tu experience aina ya shida mkuu. Sio mgeni kwenye magari nimeanza miliki magari ya biashara kabla ya hivi vya kutembelea tembelea na kunasia mambo yako π€π€π€π€. Gari matunzo na kuzingatia unayotakiwa kuzingatiwa kwa wakati sio kwamba haziwezi haribika zina haribika ila sio kwamba point ni pasua kichwa hayo ni maneno maneno tu ya kishabili yasio na wowowUkiendesha Mjerumani na hujawakiwa na mti christmass basi dogo bado. Subiri.
Niliwakiwa na mzigo kuna siku, nikachanganyikiwa. Hafu kumbe tatizo moja tu, dogo, ila ziliwaka taa zooote.
Matatizo kwenye gari madogo kadogo yapo na makubwa makubwa yapo, ila cha msingi ni kuwahi matengezo usilimbikize matatizo kama deni itafikia kipindi hukopesheki na huna uwezo wa kulipa. Njoo kidimbwi kuna mtoto wa kihindi mkali sana ninae nikupe uoshe kirungu nkoiUkiendesha Mjerumani na hujawakiwa na mti christmass basi dogo bado. Subiri.
Niliwakiwa na mzigo kuna siku, nikachanganyikiwa. Hafu kumbe tatizo moja tu, dogo, ila ziliwaka taa zooote.
Gari za mjeruman zina sifa ya kuwa over engineered kitu kinachopelekea complications kibao! Zimeundwa kwa watu wenye pesa za kuchezea kulipa mafundi na maintanance ya bei ghali!
BMW 3 series za kununua sahivi ni E46 (1998-2005), E90 (2006-2012), na F30 (20013-2020), kuna G20 kama upo vizuri hii ndio latest.
Kwa model ya 2007 ni E90 ndio BMW 3 series maarufu sana Tanzania. Kama unataka chukua ni nzuri, I owned two of them, ya kwanza nikauza, nikachukua tena.
Make sure ni cc 2500 kwenda juu (6 cylinders), pia kama utaweza iwe 2009 kwenda juu (LCI/facelift) ila sio lazima iwe na Sport package.
Gari zuri kwa ufupi, ila kama ndio 1st car sikushauri.
N52 ile Engine ile daaaaah.Yes 3 series ukipata kuanzia 6 cylinders ni gari za maana.
Hahaha sileti Mjerumani wangu beach za ajabu ajabu kama izo.Matatizo kwenye gari madogo kadogo yapo na makubwa makubwa yapo, ila cha msingi ni kuwahi matengezo usilimbikize matatizo kama deni itafikia kipindi hukopesheki na huna uwezo wa kulipa. Njoo kidimbwi kuna mtoto wa kihindi mkali sana ninae nikupe uoshe kirungu nkoi
πππππHahaha sileti Mjerumani wangu beach za ajabu ajabu kama izo.
Weekend inaenda Zanzibar.
Hiyo dash ya crown sasa.πHii dharau ya std gauge