Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

ahahaa kweli hapana chezea dady ake .hana nafasi ingine kwa my heart?

Hahahahaha weeeh hapana chezeiya hiyooo.... dadii ake hapana gusaa. .. utaungua motoo hehehehh
Nafasi kwisha kabisa kwishney babujy veve nenda tuu sali Mungu iko kupa dadii ingine julijuli heheheh hii dadii ya Kasie tuu hapana gusaa veve taungua moto kali heheheheheheh
 
Hahahahaha weeeh hapana chezeiya hiyooo.... dadii ake hapana gusaa. .. utaungua motoo hehehehh
Nafasi kwisha kabisa kwishney babujy veve nenda tuu sali Mungu iko kupa dadii ingine julijuli heheheh hii dadii ya Kasie tuu hapana gusaa veve taungua moto kali heheheheheheh
ahahaaa dadii hana ndugu mimi nataka hyo damu ya dadii au inayorelate nayo
 
ahahaaa dadii hana ndugu mimi nataka hyo damu ya dadii au inayorelate nayo

Oooh hapo sawa, ngoja kuna mmoja hivi ntamset halafu wewe mwenyewe umalizie sitawatambulisha. Mseti utakuwa mnakutana by coincidence. .... kaa tayari.
 
Waalaah sio umasikini bana ni kujipanga tuu na kuamua utumieje kipato chako....
Sasa mbona umesema angemwaga ndani kisa gari.
Au sijaelewa kwanini umruhusu kumwaga ndani kama sio gari.
 
Hizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......angetafuna na angemwaga ndani
[emoji53] [emoji53] [emoji53] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Bahati imemdondokea mwenzio, ukiwa na BMW wala hutumii nguvu kuongea hasa sie tuliokuwa na mahaba na magari na si usafiri....

Nina mpango wa kufika huko mwisho wa mwaka huu napapenda sana pale irente pametulia.
au twende pale Soni falls hakika utaenjoy
 
Hapo sijawahi kufika utanipeleka weye
kama hujawah kufika hapo jua hujaenjoy utalii wako wa Lushoto/labda ushawah kufika ila jina limekutoka ni maporomoko flan hiv ya maji mazuri sana hakika hutajutia kulipia 1000 kwenda kuyaona Soni ni kabla hujafika Lushoto katikati ya Mombo na Lushoto kuna gate na stand alaf wanauza matunda
 
kama hujawah kufika hapo jua hujaenjoy utalii wako wa Lushoto/labda ushawah kufika ila jina limekutoka ni maporomoko flan hiv ya maji mazuri sana hakika hutajutia kulipia 1000 kwenda kuyaona Soni ni kabla hujafika Lushoto katikati ya Mombo na Lushoto kuna gate na stand alaf wanauza matunda

Got you, nimepapita sana ni vile sijaingia ndani nimekuwa nikipita tuu kuelekea Lushoto.

Safari hii ntapita hapo...
 
Back
Top Bottom