Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Gari nzur sana ndo nna plan ya kununua mwakani aiseee mana I have a love for BMW
7ec9f74c0d56b3fa5bf58a07d9ade57e.jpg
 
Wala usijali next month nina safari ya kwenda Magamba.

OK nnavopenda safari mie, ukiwa vizuri kuendesha hadi huko hakuna shida mie ntakuwa msoma ramani, laah tutapokezana.... Magamba nilifika kipindi flani nusura nigande na baridi ya pale daah.....
Travel snacks nakuja nazo mie yaani with Kasie hutoboreka na safari utaiona fupi sana kuanzia karanga korosho apples cookies ukichanganya na mastori yangu na kuimbiwa juu hahahah raha sana. Namshukuru Mungu kwa kunionesha njia za kufurahia maisha. Siku ikikaribia unipe tarehe ili niweke kwenye ratiba zangu.
 
OK nnavopenda safari mie, ukiwa vizuri kuendesha hadi huko hakuna shida mie ntakuwa msoma ramani, laah tutapokezana.... Magamba nilifika kipindi flani nusura nigande na baridi ya pale daah.....
Travel snacks nakuja nazo mie yaani with Kasie hutonoreka na safari utaiona fupi sana kuanzia karanga korosho apples cookies ukichanganya na mastori yangu na kuimbiwa juu hahahah raha sana. Namshukuru Mungu kwa kunionesha njia za kufurahia maisha. Siku ikikaribia unipe tarehe ili niweke kwenye ratiba zangu.

Wala usijali
 
Hizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......angetafuna na angemwaga ndani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] usinifanye nikauze kibandachangu cha urithi nije nichukue ndinga dada kwajili yako
 
Back
Top Bottom