Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Huyo kaka ni mie basi😉
Kumbe ndo wewe ntarudi tena mwanza.... niandalie mambo mazuri tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kaka ni mie basi😉
kasinde umeona wanaume namba ile palee mpigie mimi sina simu ningempigiaKumbe ndo wewe ntarudi tena mwanza.... niandalie mambo mazuri tuu
kwani ni wewe?
Tuliza akili unapotaka kuchangia mada yani muuzaji unamwambia anunue tena!!!
Wala usijali next month nina safari ya kwenda Magamba.
kasinde umeona wanaume namba ile palee mpigie mimi sina simu ningempigia
OK nnavopenda safari mie, ukiwa vizuri kuendesha hadi huko hakuna shida mie ntakuwa msoma ramani, laah tutapokezana.... Magamba nilifika kipindi flani nusura nigande na baridi ya pale daah.....
Travel snacks nakuja nazo mie yaani with Kasie hutonoreka na safari utaiona fupi sana kuanzia karanga korosho apples cookies ukichanganya na mastori yangu na kuimbiwa juu hahahah raha sana. Namshukuru Mungu kwa kunionesha njia za kufurahia maisha. Siku ikikaribia unipe tarehe ili niweke kwenye ratiba zangu.
ahahaaa kasemaje?Tayari saa mingi, Kasie sijivungagi mie.... sipendagi kuchelewesha mambo fastaa kitu na boksi mwaaah heheheheheh wapii BMW Kasie huyooo
Jamani tangazo la biashara mushaligeuza jukwaa la mapenzi....semeni muko wapi muletewe gari mufanye drive test mununue....
ahahaaa kasemaje?
mimi nlifikiria kweli. kumbe ni swaga za jfAcha kwere Mkuu,hizo ni swaga tuu furahisha genge Gari linunuliwe.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] usinifanye nikauze kibandachangu cha urithi nije nichukue ndinga dada kwajili yakoHizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......angetafuna na angemwaga ndani
mimi nlifikiria kweli. kumbe ni swaga za jf
[emoji15] [emoji15] [emoji15] usinifanye nikauze kibandachangu cha urithi nije nichukue ndinga dada kwajili yako
atoe wapi huyo frank ? ana toyo moja tumimi nlifikiria kweli. kumbe ni swaga za jf
Ntakusubili Nyegezi. Walah this time nakojolea ndani maana hakuna namna honey🙂Kumbe ndo wewe ntarudi tena mwanza.... niandalie mambo mazuri tuu