PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Wanazo nyingi Tu hybrid cars tena ZINA horse power ya kutosha Tu...angalia hii BMW iX5BMW hawana hybrid version?
N46 Narecommend. Maana tumeshaiona kwenye e90 na e83 na e87.Kwa hiyo hii X1 yenye N46 yenyewe haina majanga sana? Do you recommend??
N43, N46 na N54....Nadhani hujakutana au hujasikia engine mbovu za BMW kama N20, N47 (four) n.k
Timing Chain wanashauri kureplace at around mileage ya 140k au 9 years.This is new kwangu asante sana nimejifunza mengi hapa, nina swali kidogo naamini timing chain za BMW ziko subjected to wear and tear na naamini pia manufactures wana recommendation ya kufanya replacement ya hio kitu baada ya km flani, Hili unaliongeleaje ?
Sikubaliani na hapa hizi number umezikuza sana i know kuna tofauti ya gharama kati ya servicing gari za Ulaya na Japan but sio kwa ukubwa huo hasa kwa X1, unless otherwise una i compare na gari ndogo, i compare na mid cross over za Toyota tofauti sio kubwa on servicing ya kukufanya usichukue gari in consideration ya unachopewa na german machine
N52 iko kwenye gari gani budget car?N46 Narecommend. Maana tumeshaiona kwenye e90 na e83 na e87.
Ni moja ya engine reliable ila nguvu siyo sana.
Kama unataka kuenjoy nunua kuanzia N52.
Oil filter inategemea kama ni zile za moja kwa moja au zile ambazo zinakuwa na housing.Oil kama Castro synthetic 5w30 iko juu,ila oil filter sidhani kama bei inafika huko...
Chain uwe na 1m kibongobongo. Maana huwa inauzwa na vikolokolo.vyake kama Guides na tensioner n.k.Chain Ni sh ngap na unakubalije ifike hata kilometa 50k
Ni vile Toyota zetu speed iko limited to 180 ,, ila tofauti na hapo unazichapa vizuri tu
BMW 1 series, 3 series, 5 series, X1, X3, X5 n.k.N52 iko kwenye gari gani budget car?
N52 iko kwenye gari gani budget car?
lengo ikiwa gari itumike kwa familia changa ambazo bado kipato hakijasimama ndo Maana kibei uki compare na gari za Juu za BMW iko chini + inatumia mafuta vizuri.
Same year of manufacture?Bongo X1 ni aghali kuliko X3
BMW 1 series, 3 series, 5 series, X1, X3, X5 n.k.
N43 ni nzuri japo siyo reliable kama N46.Duuh. Nimeona N52 nyingi kwenye X1 ni 3000 cc. Naitamani sana X1 kwa sasa nina N46 kwenye e90 ila sijavutiwa na performance yake. Kuna mdau ana N43 kwenye e90 ukigusa tu imeruka fasta.
Aiseeee.... Akikwama anicheck.ndugu yangu mmoja BMW X3 inampasua kichwa sana inawaka taaa pale ktk dahsboard na inazima hapo ndo mchezo unaisha ,na mpaka sasa nazani ipo kwa mtaalam mmoja pale gerej nyuma ya mkakao makuu ya vunja bei mikocheni. haya magari inabidi uwe makini sana na service
poa nitamuuliza kwani niliona kama fundi anampiga kipengele tu na pesa alimpa kabisaAiseeee.... Akikwama anicheck.