BMW X1 aka Baby BMW SUV

Mkuu ebu tupe habari za Volkswagen Touareg. Naipenda sana na nishaiweka mkononi nimetoka kwenye crown nimehamia huko, honestly inachonivutia ni ule muonekano wa kibabe na ile mashine uko barabarani ukiituma inakupa majibu yaleyale unayotarajia ni mwaka sasa haijawai nipa shida yoyote, kuna uzi flani niliuona kuna jamaa alizifia sana Touareg alinihamasisha
 
Toureg ya mwaka gani au toleo gani?

Na engine gani au Cc ngapi?

Diesel au Petrol?
 
Toleo la 2006, petrol engine, cc 3200
Achana na 3.2L. Matatizo ni mengi main likiwa Timing Chain.

Kama unaweza kujivuta sogea tu kwenye 3.6L FSI. Difference kwenye consumption ni ndogo pia hii inakupa more power.

Kitu kingine, kama unaweza sogea 2007 upate version ambayo ni Facelifted.
 
Well said Jitu. Uko deep sana kwenye haya mambo!
 

Unashauri vipi kwa N47 kwenye F10 520d kuanzia 2012 mpaka 2016? Kama timing chain iko fixed.
 
Inaelekea una uzoefu na haya magari, je kwa Tz ni akina nani wako vizuri katika kuyafanyia service au matengenezo ikibidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…