Itakuwa inaumwa sana unaiforce tu kutembea...Wakuu, inatokea nikiwasha gari inachelewa kuwaka. Ama nijaribu mara kadhaa ndo inawaka. Msada tafadhali. Naweza kuwa naendesha ikawasha taa kwenye dashboard ya 4x4 eml, handbrake halafu baada ya muda inaishiwa nguvu, haizimi, ila ukizima na kuwasha ina gain power na kuendelea. Pia inatokea ukitaka kukimbizia zaidi ya speed 40. Tatizo nini?
Msaada.
Wakuu, inatokea nikiwasha gari inachelewa kuwaka. Ama nijaribu mara kadhaa ndo inawaka. Msada tafadhali. Naweza kuwa naendesha ikawasha taa kwenye dashboard ya 4x4 eml, handbrake halafu baada ya muda inaishiwa nguvu, haizimi, ila ukizima na kuwasha ina gain power na kuendelea. Pia inatokea ukitaka kukimbizia zaidi ya speed 40. Tatizo nini?
Msaada.
Pole..Kuna specialist wa BMW na Benzi! Kama bado ujapata ufumbuzi njoo DM nikupe no ya muhusika atakusaidiaWakuu, inatokea nikiwasha gari inachelewa kuwaka. Ama nijaribu mara kadhaa ndo inawaka. Msada tafadhali. Naweza kuwa naendesha ikawasha taa kwenye dashboard ya 4x4 eml, handbrake halafu baada ya muda inaishiwa nguvu, haizimi, ila ukizima na kuwasha ina gain power na kuendelea. Pia inatokea ukitaka kukimbizia zaidi ya speed 40. Tatizo nini?
Msaada.
Sio kila kitu Ni jokes! Uje siku moja upate tatizo upate na wewe majibu ya ShomboHats ikinywa Muku haipati nguvu?
Uko sawa mkuu. Mimi niliambiwa BMW lako weka petroli premium, usiweke regular.Hilo ndilo tatizo la german over engineering.
Wajerumani wanapenda sheria, kuzitunga na kuzifuata. So BMW anapotengeneza gari anawapa wamiliki sheria za namna ya kulitunza gari hilo. Na wajerumani wanaponunua BMW wanazifuata sheria za matunzo ya gari kisawa sawa.
Tatizo zinapoingia bongo ambapo watu wanapenda shortcuts na kuzunguka sheria husika, hayo magari yanachoka haraka na vibaya sana.
Hata we uko vizuri...haya toa jibu
[emoji16][emoji16]Mimi sijui chochote kuusu magari, ila nakupongeza kwa kumiliki gari mkuu.
Kuna Fundi anaitwa magoti,,Facebook anajiita magoti Fundi magari .Mtafute akusaidie japo hiyo Bima itakupuna sana hela.
Nampata yule yeye ana chonga na kuprogram funguo, alarm na diagnosis tu. Sio fundi yule.