conductor
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 811
- 681
Wakuu, inatokea nikiwasha gari inachelewa kuwaka. Ama nijaribu mara kadhaa ndo inawaka. Msada tafadhali. Naweza kuwa naendesha ikawasha taa kwenye dashboard ya 4x4 eml, handbrake halafu baada ya muda inaishiwa nguvu, haizimi, ila ukizima na kuwasha ina gain power na kuendelea. Pia inatokea ukitaka kukimbizia zaidi ya speed 40. Tatizo nini?
Msaada.
Msaada.