Mtu anazungumzia X5 E53(first generation) ndio bench mark!X5 zipo kama version 8 hivi.
Na kodi zake zinatofautiana.
X5 ya miaka 15 iliopita.Bmw x5, Naona zimeshuka bei 23 millions,
sema ni nzuri kwenye barabara zilizo nyooka utaenjoy maisha
Ikianza kuzingua ni muda wa kutubu tu!😂😂😂Pitia hapa pia, unaweza kupata mawili matatu.
Ili ukianza kukuna kichwa kila siku usiseme hukua na taarifa.
BMW X5 Problems
Compare BMW X5 complaints, problems, & worst model years. There are 165 complaints on file for the BMW X5.www.carcomplaints.com
Hapo unaweza kuangalia gari yoyote. Uzuri hizi changamoto wanazitoa wenyewe huko, hakuna story za... "ulipeleka gari chini ya mwembe au wabongo wanaskiliza story za vijiweni"
Kinachowasaidia wenzetu sana kule ni warrant, ngoma ikibuma unapeleka wana fix. Japo baadhi hata warrant hazijasaidia.
All in all hizi gari ni very conformable. Japo sidhani kama likianza kuzingua utakumbuka hiyo confortability
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Unaagiza gari kwa USD 8K, unaosha kitaa wiki kadhaa then linazingua. Kulirudisha road USD 5k.. Hapa lazima utubu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Ikianza kuzingua ni muda wa kutubu tu![emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe hizi gari zimeshuka bei kiasi hiki!
Zipo sana tu za miaka ya nyuma.X5 m24 kutokea wapi hiyo;
X3 ya miaka ya nyuma ndio inaanzia bei hizo.
BMW X5 sijawahi kulijutia.
Ila usinunue la zamani sana.
Mfano hii, kodi according to TRA ni 9.8 M so tufanye 10 M kabisa inakuja 24.4 M.. Hapo bado huja negotiate.X5 m24 kutokea wapi hiyo;
X3 ya miaka ya nyuma ndio inaanzia bei hizo.
Kwani Ile Sheria haikupitishwa inayozuia magari ya umri kuanzia 10 yrs?Naam, maana miaka imekwenda. Nyingi zinaanzia hapo saa hivi.
Yaani nawazoom wanavyomtafutia msimba mtu hapaKama unaweza chukua X5 au Touareg ya kuanzia 2015 na kuendelea. Kama huwezi achana nazo.
Vipi kuhusu Discovery 4..unaizungumziaje?Kweli kila MTU anakuwa anapenda kitu Fulani maana Mimi nikipishana na Volkswagen tourage huwa napunguza mwendo ili niichek vizuri hiyo chuma ni 8 speed transmission alafu ni DSG(direct shift transmission).
Kuanzia maporini Hadi mjini hii mashine iko vizuri sana,hii gari ndiyo gari ya ndoto zangu
Hizi gari ikifika 100k ndio utajua hujuiMfano hii, kodi according to TRA ni 9.8 M so tufanye 10 M kabisa inakuja 24.4 M.. Hapo bado huja negotiate.
Tatizo wengi mnadhani hizi gari ni ghali.. Zina depreciation kubwa sana. Gharama zipo kwenye maintainance. Hii imetembea km 78K. View attachment 2322259
Hio Bei uliyomuwekea kwani Umejua anataka X5 ipi(E53,E70,F15) au Touareg ipi (7L,7P,CR)?Nadhani Zote sawa, japo nimesekia kwamba, X5 nyingi ni changamoto sana.
Pia hata bei yake haitofautiani sana.
Zote zina range from 24mil pamoja na usajili
Hizi gari gharama ya maintenance inakuja kwa sababu mtu ananunua ya zamani sana ishatembea sana.Mfano hii, kodi according to TRA ni 9.8 M so tufanye 10 M kabisa inakuja 24.4 M.. Hapo bado huja negotiate.
Tatizo wengi mnadhani hizi gari ni ghali.. Zina depreciation kubwa sana. Gharama zipo kwenye maintainance. Hii imetembea km 78K. View attachment 2322259
Hiyo ndio utakufa kabisa kama unapesa za mawazo; ila kama unaramba asali nunua. Hizo gari ikuvuka to km 100k inaanza kuzingua GIA box; shida inakuja pale ambapo huwezi kubadilisha GIA box pekee yake mpaka ung'oe na engine.Vipi kuhusu Discovery 4..unaizungumziaje?
Ukiwaambia wanakaza fuvu. Hiyo 100k mbali sanaHizi gari ikifika 100k ndio utajua hujui