kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,677
BENKI ya "Bank Of Africa Tanzania (BOAT) imetangaza neema kwa watumishi wa umma baada ya kushusha riba ya mikopo kwa kada hiyo kutoka asilimia 14 hadi 11.
Aidha, benki hiyo imepunguza masharti ya ukopaji huku muda wa urejeshaji ukiwa ni mpaka miaka mitano.
"Tumeshusha riba ili kuongeza hamu na urahisi wa upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali ili wengi wanufaike na mikopo" alisema Muganyizi Busheko Mkuu wa Kitengo cha Masoko, Utafiti Maendeleo wa BOAT.
Chanzo: NIPASHE Jumatatu Mei 21, 2018
Aidha, benki hiyo imepunguza masharti ya ukopaji huku muda wa urejeshaji ukiwa ni mpaka miaka mitano.
"Tumeshusha riba ili kuongeza hamu na urahisi wa upatikanaji wa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali ili wengi wanufaike na mikopo" alisema Muganyizi Busheko Mkuu wa Kitengo cha Masoko, Utafiti Maendeleo wa BOAT.
Chanzo: NIPASHE Jumatatu Mei 21, 2018