TANZIA Bob Makani afariki dunia

"Hakika sote tumetoka kwa Mwenyezi Mungu na kwake ndio marejeo."
Mungu amlaze mahali pema - Amin.
Oleni wafiwa wote, wakiwemo wanafamilia na CDM. Tumamuomba Mwenyezi Mungu awapeni nguvu na subira.
 
R.I.P Kamanda Makani! Tutakukumbuka kwa mchango wako kwa Taifa hili na ujenzi wa upinzani imara (CHADEMA)!
 
Jioni hii tumempoteza mmoja wa waanzilishi wa chama chetu, Mzee Bob Makani. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
MSG from Dr Slaa @twiiter
 
R. I. P. Bob makani, Chadema ilikupenda, wana Chadema tulikupenda, lakini Mungu kakupenda zaidi yetu wote ! Ingekuwa amri yetu tungeahirisha kifo chako mpaka November 2015 ili umwone Rais wa awamu ya 5 akiapishwa, bila shaka atatokana na Chama chako Chadema. Lakini kwa bahati mbaya uwezo huo hatuna. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Amina.
 
Naona mpaka muda huu hamna mtu aliyesema chanzo cha kifo. Sijui kwanini.
 
Poleni wakuu,tatizo lake lile lile au jingine? Maana nakumbuka kulikua na uzi alilazwa aghakan!!

Maskini Mzee Makani, nilimwona pale Premium Clinic 5/6 , akiwa anasubiri matibabu, aliletwa nakijana wake ndani ya wheel chair, Alikuwa mdhoofu sana ingawaje bado sauti yake ilikuwa nzito na yenye madaraka. Shujaa ametutangulia. Rip Bob!
 
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Amen. You have done well your part...
 
Umetangulia nasi tutafuatia. Mema na misingi yote uliyoijenga ndani ya CHADEMA na TANZANIA kwa ujumla haitosahaulika. Pumzika kwa amani Mzee wetu Makani,
 
R.I.P Bob Makani,
poleni wana familia, poleni wanaChadema
 
Jioni hii tumempoteza mmoja wa waanzilishi wa chama chetu, Mzee Bob Makani. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
MSG from Dr Slaa @twiiter

Habari ipo kitamboooo hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…