TANZIA Bob Makani afariki dunia

TANZIA Bob Makani afariki dunia

upumzike kwa amani kamanda, tunatambua mchango wako mkubwa ktk chama, umeacha chama kikiwa imara.
 
dah!...tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi,Pumzika kwa amani Makani
 
R.I.P Mzee Makani. Poleni wafiwa tupo pamoja nanyi.
 
These are real sad news. RIP Nyanga bob Makani. Utakumbukwa daima na wapenda mageuzi.
 
pole zimuendee Dr makani mtoto wa mzee bob makani[kama sikosei]

RIP mzee wetu.
 
R.i.p kamanda wetu hakika tutafuata nyayo zako katika kulikomboa taifa hili.
 
RIP Bob Makani
umelala mauti wakati nyota ya mabadiliko ikianza kung'ara juu ya anga la Tanzania, wana wanchi hawatasahau mchango wako hakika mwendo uliupiga kazi umeimaliza pumzika kwa amani baba.
POLENI CHADEMA na taifa zima la wapenda maendeleo
 
Tunamshukuru Mungu kwa matendo yake, na vile ulitumika kwa nafasi yako na leo sehemu ya matunda yanaonekana!
Utaendelea kuwa shujaa wetu....
Pumzika kwa amani Bob.
 
RIP Kamanda Bob Makani... Poleni ndugu jamaa pamoja na marafiki....
 
Aah R.I.P Mzee Makani. Niliwish sana uishi na kuja kuona ukombozi wa nchi chini ya M4C!

We will meet you there one day!
 
Innalillah wainna ilayhi raj'uun


Kwa hakika aya ndio mawaidha ya aina yake.

Dunia ni kama safari, na ni lazima ufike unapoenda, hiil ni kumbukumbu kwa wale waishio kama ndio wamefika duniani.
Wajameni tufanyeni ibada, wajameni tusidhulumiane, wajameni tumche mola wetu.

Poleni wanafamilia na muwe na subra, na poleni wale mliomtelekeza..........


Note:
Haya pia ni mawaidha kwa muasisi wetu! .............
 
Harakati za ukombozi wa kweli ziendelee na hiyo ndiyo namna pekee ya kumuenzi comrade Bob Makani. R. I. P Makani.
 
Back
Top Bottom