Chikumba one
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 1,009
- 1,642
Huwezi kuijua lugha ya Sanaa kama sio Msanii. (Nikisema Msanii namaanisha Msanii Kiuhalisia). Msanii ni Mwanafalsafa kamili.
Falsafa halisi hubeba ujumbe unaofikirisha. Sijaona chochote kibaya alichokiimba Bob hata tuseme hakumwamini Mwenyezi Mungu. Zaidi sanaa yake imekamilika kiasi kwamba miaka mingi tangu kifo cheke bado nyimbo zake zinafikirisha, kufundisha na kuelimisha.
Falsafa halisi hubeba ujumbe unaofikirisha. Sijaona chochote kibaya alichokiimba Bob hata tuseme hakumwamini Mwenyezi Mungu. Zaidi sanaa yake imekamilika kiasi kwamba miaka mingi tangu kifo cheke bado nyimbo zake zinafikirisha, kufundisha na kuelimisha.