Bob Mtekama: FBI wa Malawi aliyekamata raia wetu huko Malawi

halafu mnataka jf ifungwe sjui mnataka kuturudisha katika maisha ya karne gani hyo,,Haya mambo mngeyapost wapi sasa
 
sijatumwa na Malawi mkuu, mimi ni Mtanzania halisi haswaa tena nimelelewa kiujamaa sana ndiyo maana nikaona ni vyema kujuzana taarifa kuhusu adui yetu ambaye ni miaka kadhaa sasa anatusumbua.
 
Mlta mada hamna intelligensia yoyote aliyoileta , nimeona kama mwalimu yuko darasa la tano anatoa somo la jiografia, kasahau kuwaelezea wanafunzi wake ni mazao gani yanayostawi hapo mzuzu, kuhusu malawi laleni usinginzi wale hawatupi shida kwa lolote, wanajifurahisha tu huu mziki uitwao TANZANIA wanaujua fika, wale tena haina haja ya kuwafalisha magwanda na mabuti mazito vijana wetu wa JWTZ, tunaingia huku tumevaa all stars, new balance na nike air kama tunaenda fiesta huku le mbebezz akiwa mstari wa mbele na computa yake mpakato aina ya apple aliyopewa zawadi, tunamaliza kazi na tunarudi na wakata majani kibao kama fidia.
 
Una kipaji cha ukusanyajji taarifa ikiwa tu kama wewe sio wa kutoka kitengo

Hongers mkuu
Huyu jamaa katutafunia hadi sie vibogoyo!! maneena kama ni kweli vijana wetu wamenyakwa, fina lillah tukawakomboe tu, ujinga ujinga hatutaki na malawi wasizoeee...!
 
Huku mteka teka kule mtekama!!
embombo ngafu!!
 
Ila kitendo cha kuweka izo data apa tayari umekua disqualify...mana watasoma na wataongeza ulinzi.
If these details are true, then they are very minor and less important!! Agents never give everything!!
 
Nadhani huna unalofahamu kuhusiana na kazi za jasusi. Jasusi huwa hadharau taarifa yeyote ile, iwe kubwa au ndogo ya kweli au ya uongo. Aipatapo huifanyia kazi ili aone kama INA madhara kwa ustawi wa nchi
 
Hao jamaa zetu wa caritas roman walienda kujifunza madhara ya uchimbaji urani najua wataachiwa bila masharti japo watahojiwa kama dedturi. Kuhusu maelezo ni ya kawaida na yapo mtandaoni Google utapata.
 

Mkuu umetupa hints nzuri sana. "Operation Mzuzu" itabidi ifanyiwe mchakato km ile ya Israel 1976 entebbe! Ngoja nimtafute maj gen Dan Shomron na Yakutiel Adam tupange strategies!
 
Ndo jukwaa hili linanifanya naendelea kubakia jamii forum. Japo wakongwe wamekimbia miye nimo tu...!! Safi sana mleta mada..taarifa zimefika.
Baba yako alikufundisha vyema..tuipende Nchi yetu Tanzania.
 
Baaandaaa wa Malawii, katuvaliaa ngozi ya simbaa, hatujalii, hatujalii.
Wimbo wa mchakamchaka full kinanda, unanikumbusha enzi hizo.
Malawi alikuwa adui mkubwa wa Tz enzi za utawala wa maisha wa rip Hastings Kamuzu Banda.
Kama ilishindikana "kuzipiga" enzi za Nyerere,sasa hivi tutamalizana nao vizuri. Matumaini yangu ni kwamba diplomasia itazaa matumda.
 
Hao mgambo ndo wetu hakuna wengine, kama huwataki nenda kaolewe na CIA.
Kwann wewe ndo wamekupatia mimba . .??..na ulibikiriwa vibaya na hao jamaa maana unakiherehere....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…