Bangi za asubuhi
Makasiriko πΌmkubwa mzima unashindwa kufikiri mambo ya msingi wewe upo bize na chadema tu? hakuna vyama vngine huku duniani
nikasirike kwa kipi hapo?Makasiriko πΌ
Mleta mada kuipenda Chadema πnikasirike kwa kipi hapo?
uchonganishi na uchochezi katika vita baina ya patriot na puppet ndani ya Chadema ππππ
Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji
Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika
2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal
Sasa Wakati Ndio umefika ππ
Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Mbowe ndiye ajaye atafuatiwa na Ridhiwanuchonganishi na uchochezi katika vita baina ya patriot na puppet ndani ya Chadema π
Usimchangamanishe Nyerere na uchafuπππ
Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji
Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika
2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal
Sasa Wakati Ndio umefika ππ
Tundu Antipas Lisu aelewe hili
wewe kutwa kucha hulali kwa kujadili uchafu? unatofauti gani na wale chawa wanaokaa pachafu hapo lumumba? wakijiita chawa wa mamaUsimchangamanishe Nyerere na uchafu
Okπππ
Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji
Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika
2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal
Sasa Wakati Ndio umefika ππ
Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Sawa mkuuMbowe ndiye ajaye atafuatiwa na Ridhiwan
Huo Ndio Ukweli ππ
Mbowe ndiye ajaye atafuatiwa na Ridhiwan
Huo Ndio Ukweli ππ
Mbowe agombee ubunge na Lisu uRais"Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais, tumekuwa tukiwabembeleza wanachama wenzetu kugombea Urais akiwemo Dkt Slaa kumekuwepo na 'trends' hiyo kwamba hatujawahi kuwa na watu wenye nguvu sana hasa ya kuleta ushindani na hata nguvu za kuweza kushinda kwenye Urais lakini kwa wakati huu tumekuwa na Freeman Mbowe na Tundu Lissu ,"
- Bob Chacha Wange Mwanachama wa CHADEMA
View attachment 2989865
Kwani kuna kosa?πππ
Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji
Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika
2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal
Sasa Wakati Ndio umefika ππ
Tundu Antipas Lisu aelewe hili