Pre GE2025 Bob Wangwe: Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais

Pre GE2025 Bob Wangwe: Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
😂😂😂

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika 😂😂

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Tusiwachagulie mgombea. Wao wenyewe watajua nani wa kumpitisha.

Tatizo letu CCM ni chama kuporwa na wahuni. Hatuhangaiki nalo bali tupo bize kuwafanyia uenezi wapinzani
 
Back
Top Bottom