Boban atinga airport na kandambili

bangi mbaya ndugu yangu.

hilo si suala la bangi,na mtetea kwa hilo
kwanza kikawaida unapokuwa ndani ya ndege unashauriwa kuvaa viatu vyepesi ambavyo vitakusaidia kuwanyambulika wakati ukiwa ndani ya ndege na hii husaidia hata kujiaandaa kutoka ndani ya ndege kama kuna chochote kibaya kimetokea

lakini nimekuja gundua kuwa ktk maswala ya kusafiri na ndege ni sisi wabongo ndio huwa tunasababisha maisha kuwa magumu sana,kwani wasafiri wengi wanaotumia ndege utawaona wapo simple sana hawana mambo mengi zaidi ya mabegi baadhi ya rambo na hata mavazi yao ni ya kawaida sana

tatizo wabongo ili uonekane umepanda ndege basi utataka uwe na suti na kiatu kutoka italy

tubadilike
 
🤣🤣
 
Morogoro kuna Fathet pekupeku kokote aendako hutembea peku, hutumia pia baiskeli, (Anita)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…