BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
So sad. R.I.P Christina. Utajiri wote aliochiwa na mama yake hata ajaufaidi maskin cjui nani atauridhi sahiv kichaa Bobby au Houston family.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Kweli unga mbaya sana.
Masikini...she didn't get the chance to enjoy her mom's fortune. RIP girl.
kwani amekufa kwa ugonjwa gani hasa?
Unga au madawa ya kulevya.
Hivi ni kwa nini mtu akishakuwa addicted huwa anapenda bathtub ( kwa majuu lakini maana hawa wa huku kwetu hawataki hata kuoga?