Hapana hilo sio jina la huyo mtoto. Basically alikuwa anasifia kitu so to speak. Tenderoni ni slang ya sifa za aina flani ya mtoto wa kike. So alifupisha na kuita Roni kunogesha, lakini halikuwa jina halisi la mtu bali ni KITU.Sawa, ila ikishakuwa jina huwezi kutanguliza 'a' , kwa sababu si anamuimbia Mtoto mzuri wa kuitwa Roni?
Ok,Hapana hilo sio jina la huyo mtoto. Basically alikuwa anasifia kitu so to speak. Tenderoni ni slang ya sifa za aina flani ya mtoto wa kike. So alifupisha na kuita Roni kunogesha, lakini halikuwa jina halisi la mtu bali ni KITU.
Ilikuwa bonge la song, kati ya song zake kali tano nina uhakika Roni ipo.Pia kuna kitu 'Roni' alivyomchambua Mtoto Roni, utamuelewa Bobby.....Roni ni ngoma yangu namba mbili baada ya 'Dont't be cruel'
Kabisa, don't be cruel ni ngoma kali sana.Ilikuwa bonge la song, kati ya song zake kali tano nina uhakika Roni ipo.
Kabisa, ila nilizungumzia zaidi kuwa na "clean sheet"Mambo ya kupokezana kijiti,hayaepukiki.
vp ulihudhuriatNikimuona huyu jamaa nakumbuka harusi yake na Whityney Houston
Napenda hii Sunday Afternoon,siku nilipopata jiko.Ngoma zake nyingi bado kali masikioni.
Kuna pia ile ya 'Rock wit'cha' ni bonge la blues,Napenda hii Sunday Afternoon,siku nilipopata jiko.
Sio mchezo aise, kweli nyakati huja na kuenda.Kalikuwa ka brother man kweli kweli.
View attachment 859333
Yeah, that is true...but some of the things will always be remembered.Nothing lasts forever!