Itakuwaje kama jamaa yake akipata msamaha wa Rais say 3yrs b4 muda wa kutumikia kifungo haujaisha???!!
Nawaza tu...
Acha kukariri wewe...Tafuta mtu anaitwa John Forte alikuwa Member wa Crew ya kina Wyclef. Jamaa alifungwa jela lkn Bush ndio alikuja kumtoa kwa Msamaha. Sasa sijui wewe unaizungumzia Marekani ipii.Marekani hakuna msamaha wa rais. Hilo swala linashughulikiwa na Board of Parole na inategemea ns hukumu ikoje.
Marekani hakuna msamaha wa rais. Hilo swala linashughulikiwa na Board of Parole na inategemea ns hukumu ikoje.
hivi usela nnya ndo usela gani huo?Hes the hot Nikka.
Aache Usela Nya sasa baada ya kutoka jela.
hivi usela nnya ndo usela gani huo?