Apinduliwe na nani wakati mtoto wake ni mkuu huko Jeshini?Mzee anaenda kupinduliwa siyo mda
Kama ni mkuu ndio ana guarantee ya baba yake kuto kupinduliwa?Apinduliwe na nani wakati mtoto wake ni mkuu huko Jeshini?
OvaAfrika bhana raha sana, yaani polisi Uganda hadi sasa imeua watu wengi kuliko hata Corona yenyewe ilivyoua.!
This is Africa.!
Naona jamaa kaja kuchukua mateso ya Dr. Kiiza Besigye. Maana yule kila siku ilikua ni kukamatwa na kichapo kisha anapelekwa kolokoloni.Mgombea Urais wa nchi hiyo kupitia National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amepata dhamana baada ya kukamatwa Jumatano
Kwa mujibu wa Polisi, Mgombea huyo alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za COVID19 ambazo zimewekwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya
Nchi hiyo imeingia katika vurugu kufuatia kukamatwa kwake na baadhi ya watu wamepoteza maisha na kujeruhiwa huku mamia wakikamatwa
PIA, SOMA:
Naamini jibu unalo?Kama ni mkuu ndio ana guarantee ya baba yake kuto kupinduliwa?