Bobi Wine apata dhamana

Bobi Wine apata dhamana

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mgombea Urais wa nchi hiyo kupitia National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amepata dhamana baada ya kukamatwa Jumatano

Kwa mujibu wa Polisi, Mgombea huyo alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za COVID19 ambazo zimewekwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya

Nchi hiyo imeingia katika vurugu kufuatia kukamatwa kwake na baadhi ya watu wamepoteza maisha na kujeruhiwa huku mamia wakikamatwa




PIA, SOMA:
 
Mgombea Urais wa nchi hiyo kupitia National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amepata dhamana baada ya kukamatwa Jumatano

Kwa mujibu wa Polisi, Mgombea huyo alikamatwa kwa madai ya kukiuka taratibu za COVID19 ambazo zimewekwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya

Nchi hiyo imeingia katika vurugu kufuatia kukamatwa kwake na baadhi ya watu wamepoteza maisha na kujeruhiwa huku mamia wakikamatwa




PIA, SOMA:
Naona jamaa kaja kuchukua mateso ya Dr. Kiiza Besigye. Maana yule kila siku ilikua ni kukamatwa na kichapo kisha anapelekwa kolokoloni.
Viongozi wetu Afrika bado sana.
 
Taarifa zinasema walokufa ni zaidi ya watu 20?

Babu namuonea huruma mwisho wake
 
Back
Top Bottom