Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] poa poaTafuta ngoma moja ya Fella Kuti inaitwa Zombie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] poa poaTafuta ngoma moja ya Fella Kuti inaitwa Zombie.
Pole sana kijana mfuasi wa Amsterdamwafuasi wa Magufuli mna interest na utawala wa dikteta babu Mu7.
Vp watawala hawafanani?Eeeh....... wapinzani bara la Afrika wanafanana...!
Mfalme herode bado 'hajatwiti' pongezi za utangulizi kwa kakaye? Au bado wanatalii na wageni wake burigi kitovu cha utalii Afrika na dunia nzima?Pole sana kijana mfuasi wa Amsterdam
Yeye ndo mwenye course yake, wenzake wanagezea kwakeYoweri Museven alikuja tanzania kupata "COURSE" ya njia za kuiba kura na jinsi ya kucheza na asilimia za ushindi wa kishindo.
Magufuli atakua rais wa kwanza kumpa pongezi za ushindi wa kishindo swaiba wake.
Utaumia sana kijana,!Mfalme herode bado 'hajatwiti' pongezi za utangulizi kwa kakaye? Au bado wanatalii na wageni wake burigi kitovu cha utalii Afrika na dunia nzima?
Wee sio kaguta kaguta alishaiondoa zamani huyu Mzee alijibatiza upya😂😂😂Yoweri Kaguta.
Anashinda uchaguzi, huyo Bobi sijui nini tupilia mbali huko.Wee sio kaguta kaguta alishaiondoa zamani huyu Mzee alijibatiza upya😂😂😂
Ni kweli kabisa...eti kuna ki bongo fleva kinaitwa wine kinataka ofisi kuu...pumbav kabisaBobi Wine hawezi kuwa Rais wa Uganda. Na ikitokea kawa Rais ndani ya miaka miwili lazima atapinduliwa na jeshi. Kutokana na sababu za kihistoria siasa za Uganda zinachezwa na jeshi. Kwa hiyo rais wao shurti awe mwanajeshi. Besigye ambae kamsumbua sana Museven nae alikua mwanajeshi.
Sitaki, sasa nione utafanya nini.Anza kumpa pongezi mwanafunzi wenu aliokuja kupata kozi ya kuiba kura dodoma.
Huyo Dogo asubiri Museveni astaafu ndio ajitutumue.Museveni amewakomboa Uganda kutoka nchi iliyokuwa ni Killing Fields in millions kwa miaka mingi hadi ikawa nchi tulivu inatamaniwa na watu kuishi kwa raha.Bobi Wine hawezi kuwa Rais wa Uganda. Na ikitokea kawa Rais ndani ya miaka miwili lazima atapinduliwa na jeshi. Kutokana na sababu za kihistoria siasa za Uganda zinachezwa na jeshi. Kwa hiyo rais wao shurti awe mwanajeshi. Besigye ambae kamsumbua sana Museven nae alikua mwanajeshi.
Magufuli ni Dkt halafu alikuwa mwalimu wa Sekondari, lazima akifundisha uelewa hata kwa makofi na matusi ya hapa na pale.Yoweri Museven alikuja Tanzania kupata "COURSE" ya njia za kuiba kura na jinsi ya kucheza na asilimia za ushindi wa kishindo.
Magufuli atakua rais wa kwanza kumpa pongezi za ushindi wa kishindo swaiba wake kwasababu ya kuifanyia kazi course aliopewa.
Huyo mganda wako ana mawazo mgando kama mavijana ya uvcccmHivi kweli unaamini yule mtu kapigana vita miaka ile na chama chake sasa wanakula matunda halafu wafanye uchaguzi wa haki? ila kama kamwamsha mzee tu kuwa kuna mtu anakuja.
Kuna mganda rafiki leo nimeongea naye kuhusu hili akaniambia sio kwamba anampenda M7 lakini hataka stability ya amani ipotee kwa waganda mambo waliyopitia hawataki wanaogopa.
Nikamwambia hata huyu anaweza jibu lake kasema bora zimwi ulijualo nikaelewa hofu yao hawataki kwenda sehemu wasiyokuwa na uhakika nayo wanaona acha atawale tu ni kama sisi CCM.