Bobi Wine apinga Matokeo ya Awali yanayotanzwa na Tume ya Uchaguzi

Bobi Wine apinga Matokeo ya Awali yanayotanzwa na Tume ya Uchaguzi

Bila [emoji380][emoji380][emoji380][emoji380] na indusu m7 hatoki
 
909775.jpg
 
Ww hiz umepat wap wek uhakik MBN jana nimeona bobi wine alikua anaongoz tenah online
 


Uganda's Bobi Wine says he won election 'by far'
 
Bobi Wine hawezi kuwa Rais wa Uganda. Na ikitokea kawa Rais ndani ya miaka miwili lazima atapinduliwa na jeshi. Kutokana na sababu za kihistoria siasa za Uganda zinachezwa na jeshi. Kwa hiyo rais wao shurti awe mwanajeshi. Besigye ambae kamsumbua sana Museven nae alikua mwanajeshi.
 
Bobi Wine hawezi kuwa Rais wa Uganda. Na ikitokea kawa Rais ndani ya miaka miwili lazima atapinduliwa na jeshi. Kutokana na sababu za kihistoria siasa za Uganda zinachezwa na jeshi. Kwa hiyo rais wao shurti awe mwanajeshi. Besigye ambae kamsumbua sana Museven nae alikua mwanajeshi.
Ni kweli kabisa...eti kuna ki bongo fleva kinaitwa wine kinataka ofisi kuu...pumbav kabisa
 
Bobi Wine hawezi kuwa Rais wa Uganda. Na ikitokea kawa Rais ndani ya miaka miwili lazima atapinduliwa na jeshi. Kutokana na sababu za kihistoria siasa za Uganda zinachezwa na jeshi. Kwa hiyo rais wao shurti awe mwanajeshi. Besigye ambae kamsumbua sana Museven nae alikua mwanajeshi.
Huyo Dogo asubiri Museveni astaafu ndio ajitutumue.Museveni amewakomboa Uganda kutoka nchi iliyokuwa ni Killing Fields in millions kwa miaka mingi hadi ikawa nchi tulivu inatamaniwa na watu kuishi kwa raha.
Lakini Dogo akitaka uraisi baada ya Museveni LAZIMA aje Bongo afanyiwe vetting.Hakuna free lunch,Tanzania ilitumia gharama kubwa kuikomboa Uganda haiko tiyari kuona Uganda inarudia kwenye mauwaji.
Hata mataifa ya Magharibi yanalijua hilo ndio maana yanamuunga mkono General Kaguta Museveni.
 
Yoweri Museven alikuja Tanzania kupata "COURSE" ya njia za kuiba kura na jinsi ya kucheza na asilimia za ushindi wa kishindo.

Magufuli atakua rais wa kwanza kumpa pongezi za ushindi wa kishindo swaiba wake kwasababu ya kuifanyia kazi course aliopewa.
Magufuli ni Dkt halafu alikuwa mwalimu wa Sekondari, lazima akifundisha uelewa hata kwa makofi na matusi ya hapa na pale.

Refer Kabudi kuitwa mpumbavu.
 
Hivi kweli unaamini yule mtu kapigana vita miaka ile na chama chake sasa wanakula matunda halafu wafanye uchaguzi wa haki? ila kama kamwamsha mzee tu kuwa kuna mtu anakuja.

Kuna mganda rafiki leo nimeongea naye kuhusu hili akaniambia sio kwamba anampenda M7 lakini hataka stability ya amani ipotee kwa waganda mambo waliyopitia hawataki wanaogopa.

Nikamwambia hata huyu anaweza jibu lake kasema bora zimwi ulijualo nikaelewa hofu yao hawataki kwenda sehemu wasiyokuwa na uhakika nayo wanaona acha atawale tu ni kama sisi CCM.
Huyo mganda wako ana mawazo mgando kama mavijana ya uvcccm
 
Back
Top Bottom