Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakavyopokelewa Lisu? Jidanganye.Mbunge machachali wa uganda anaye mnyima usingizi m7 amerejea leo mchana akitokea usa kwenye matibabu amepokewa kifalme na wana uganda huku vikosi vya jeshi vikimchukua kwenye gari la kijeshi,haya ni maandalizi ya jinsi atakavyo pokewa LissuView attachment 872326View attachment 872327
Atakavyopokelewa Lisu? Jidanganye.
kila saa walah, yaani li po po ma hatari
Ha ha ha Museveni anapata taabu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee... Na kama ni mpenda mazoea na mtu ukiwa safarini... Basi kwa wepesi kabisa watu wanachukua taarifa
Tutaona nani anajidanganya, utanikumbuka.Unajidanganya wewe
Tutaona nani anajidanganya, utanikumbuka.
Aisee... Na kama ni mpenda mazoea na mtu ukiwa safarini... Basi kwa wepesi kabisa watu wanachukua taarifa
Polisi Wa Uganda wana upendo kweli wanatoa ulinzi na usafiri bure
Power of the people is greater than the people in power -Qoute Bobi Wine.
Meet Lady Afande Kentalo Pamella who has been Spying on Hon Bobi Wine all the way from US to Amsterdam via Nairobi till Uganda .
Kampalafm.comView attachment 872439View attachment 872440
Mtoa mada acha kupotosha watu hizo picha ni za matukio tofauti na hazina uhusiano na kurudi ka mh. Kyagulani hio ya kwanza illikua kipindi cha uchaguzi na ya pili illikuwa kipindi cha kurudisha raia wa uganda waliokuwa wakifanya biashara South Sudan bada ya wasudani kupigana wao kwa waoMbunge machachali wa uganda anaye mnyima usingizi m7 amerejea leo mchana akitokea usa kwenye matibabu amepokewa kifalme na wana uganda huku vikosi vya jeshi vikimchukua kwenye gari la kijeshi,haya ni maandalizi ya jinsi atakavyo pokewa LissuView attachment 872326View attachment 872327
Kwahiyo?Mtoa mada acha kupotosha watu hizo picha ni za matukio tofauti na hazina uhusiano na kurudi ka mh. Kyagulani hio ya kwanza illikua kipindi cha uchaguzi na ya pili illikuwa kipindi cha kurudisha raia wa uganda waliokuwa wakifanya biashara South Sudan bada ya wasudani kupigana wao kwa wao
Kingine kwaza alishikwa na Polisi na sio Jeshi, pili alipelekwa kwanza kituo kya polise kasangati kabla hawajampereka nyumbani kwake
Dah...mtu unaota ndoto 100...hakuna hata moja inayotokea...amka bana...achana na ndoto..[emoji13]Unajidanganya wewe
Dah...mtu unaota ndoto 100...hakuna hata moja inayotokea...amka bana...achana na ndoto..[emoji13]
Mjukuu anampa shida babuu yake