Bobi Wine awasili Uganda apakizwa kwenye gari la jeshi

Meet Lady Afande Kentalo Pamella who has been Spying on Hon Bobi Wine all the way from US to Amsterdam via Nairobi till Uganda .
Kampalafm.com
 
Wale ndugu zake m7 sasa hivi wana ugua tumbo la kuhara maana wanaona upepo wa uganda unaweza kuvumia Bongo
Power of the people is greater than the people in power -Qoute Bobi Wine.
 
Mtoa mada acha kupotosha watu hizo picha ni za matukio tofauti na hazina uhusiano na kurudi ka mh. Kyagulani hio ya kwanza illikua kipindi cha uchaguzi na ya pili illikuwa kipindi cha kurudisha raia wa uganda waliokuwa wakifanya biashara South Sudan bada ya wasudani kupigana wao kwa wao
Kingine kwaza alishikwa na Polisi na sio Jeshi, pili alipelekwa kwanza kituo kya polise kasangati kabla hawajampereka nyumbani kwake
 
Kwahiyo?
 
Rohombaya,sasa hivi watanzania tunaomboleza kwanza hizo habari za waganda tuziwache kwanza
Dah...mtu unaota ndoto 100...hakuna hata moja inayotokea...amka bana...achana na ndoto..[emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…