Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ugonjwa wa kutowaamini wanaojifanya wana hofu ya Mungu na kushinda kwenye masinagogi.Script ni ile ile kwanza kujifanya mtu wa Mungu sana, rafiki wa masikini (wanyonge/hustlers), then mtu mmoja anaanza penyeza agenda ya kubadili katiba.
Hii inaitwa co-pastpresent continuous Tense....That was is fucking
Truly slang African are cursed continentHii inaitwa co-pastpresent continuous Tense....
Ahsante Malkia kwa kuturithisha Matatizo badala ya Maendeleo 😂😂😂😂
Naona na mke wake kaanzisha kanisa ikulu.Jamaa kanogewa mapema mno,sijui kala vitu gani huko Ikulu,huku kwetu ni Mungu tu ndiye aliyetunasua
Aisee hatariNaona na mke wake kaanzisha kanisa ikulu.
Ruto awe makini he gonna be the worst kuliko hata Kenyatta.
Wakenya watamchukia haraka sana.
Hivi Hawa Marais wa 5, wana tabu Gani huku kwetu alikuwa sio mtu yule aisee[emoji15]
Huyu anakoelekea Ni huku 👇Acheni kuingilia Uhuru wa bungu la Kenya
Na Mwendazake alianzaga hivi hivi kwa Mambo Kama haya hapa 👇Uda wamekanusha
Source:BBC
Mwendazake alikutana na Yes Men, na Mazezeta wengine, lakini kwa Kenya sidhani kama wataendeshwa kama sisi.Na Mwendazake alianzaga hivi hivi kwa Mambo Kama haya hapa 👇
Na Mwendazake alianzaga hivi hivi kwa Mambo Kama haya hapa [emoji116]
Sahau in Kenya hata raila akifaHuyu anakoelekea Ni huku [emoji116]
Sio kwa Kenya,Kule wananchi,wanajitambua,na mfumo wa mahakama kidogo upo huru,KLS,na taasisi nyingine wanajitambua mno.Kwa Nini lisiwezekane kwa sababu linaanza na Bunge then wanaenda kwenye Kura ya maoni hapo Mahakama hauwezi ku block wakishinda..