Bobi Wine: Mtoto wa Museveni anatishia kunichinja, Muhoozi asema Baba yake ndiye anayemzuia kumchukulia hatua

Bobi Wine: Mtoto wa Museveni anatishia kunichinja, Muhoozi asema Baba yake ndiye anayemzuia kumchukulia hatua

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
photo-output.jpeg
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo amesema Museveni asingekuwepo angemkata kichwa Bobi Wine na kwamba hata Bobi Wine mwenyewe hilo analijua.
IMG_2300.jpeg

Muhoozi ameandika hayo kwenye akaunti yake ya X (zamani Twitter) ambapo Bobi Wine amemjibu na kusema "Kitisho cha Mtoto wa Museveni (ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Uganda) la kunikata kichwa sio kitu ninachokichukulia kwa wepesi hasa ukizingatia kwamba Watu wengi wameuawa na yeye na Baba yake na kwa kuzingatia pia majaribio kadhaa ya kuondoa uhai wangu, nakataa kutishwa na utawala wa uoga, Dunia inatazama"
IMG_2306.jpeg

Muhoozi katika hatua nyingine amesema lilikuwa ni wazo lake na Majenerali wenzake kumshawishi Rais Museveni kumtumia Bobi Wine kama pandikizi la kumuondolea nguvu Kiza Besigye na kumfanya asiwe Kiongozi wa upinzani mwenye nguvu Uganda huku akisema baada ya kumpa pesa nyingi Bobi Wine na akapata nguvu na umaarufu aliwageuka na kuanza kuwatukana yeye na Baba yake "Kabla sijakukata kichwa Bobi Wine rudisha pesa zetu tulizokukopesha"
photo-output.png

Muhoozi pia amesema "Nikiwa ni CDF nawaagiza Wanajeshi wote na Mamlaka nyingine za Usalama kumkamata Bobi Wine (hata kwa kutumia nguvu na vurugu ikiwezekana) pale tu atapomtukana Rais Museveni, Mimi CDF na Wanafamilia wote wa Museveni kwenye tukio lolote hadharani"
IMG_2305.jpeg


Pia, Soma:

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi

General Muhoozi: Sitagombea Urais 2026, nitamuunga mkono Yoweri Museveni kwenye uchaguzi
 
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo amesema Museveni asingekuwepo angemkata kichwa Bobi Wine na kwamba hata Bobi Wine mwenyewe hilo analijua.
View attachment 3194074
Muhoozi ameandika hayo kwenye akaunti yake ya X (zamani Twitter) ambapo Bobi Wine amemjibu na kusema "Kitisho cha Mtoto wa Museveni (ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Uganda) la kunikata kichwa sio kitu ninachokichukulia kwa wepesi hasa ukizingatia kwamba Watu wengi wameuawa na yeye na Baba yake na kwa kuzingatia pia majaribio kadhaa ya kuondoa uhai wangu, nakataa kutishwa na utawala wa uoga, Dunia inatazama"
View attachment 3194077
Muhoozi katika hatua nyingine amesema lilikuwa ni wazo lake na Majenerali wenzake kumshawishi Rais Museveni kumtumia Bobi Wine kama pandikizi la kumuondolea nguvu Kiza Besigye na kumfanya asiwe Kiongozi wa upinzani mwenye nguvu Uganda huku akisema baada ya kumpa pesa nyingi Bobi Wine na akapata nguvu na umaarufu aliwageuka na kuanza kuwatukana yeye na Baba yake "Kabla sijakukata kichwa Bobi Wine rudisha pesa zetu tulizokukopesha"
View attachment 3194081
Muhoozi pia amesema "Nikiwa ni CDF nawaagiza Wanajeshi wote na Mamlaka nyingine za Usalama kumkamata Bobi Wine (hata kwa kutumia nguvu na vurugu ikiwezekana) pale tu atapomtukana Rais Museveni, Mimi CDF na Wanafamilia wote wa Museveni kwenye tukio lolote hadharani"
Kenya wanakaribia nchi ya maziwa na asali, Tanzania wamelala usingizi wa pono, Uganda wamekufa kabisa!
 
View attachment 3194087Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo amesema Museveni asingekuwepo angemkata kichwa Bobi Wine na kwamba hata Bobi Wine mwenyewe hilo analijua.
View attachment 3194074
Muhoozi ameandika hayo kwenye akaunti yake ya X (zamani Twitter) ambapo Bobi Wine amemjibu na kusema "Kitisho cha Mtoto wa Museveni (ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Uganda) la kunikata kichwa sio kitu ninachokichukulia kwa wepesi hasa ukizingatia kwamba Watu wengi wameuawa na yeye na Baba yake na kwa kuzingatia pia majaribio kadhaa ya kuondoa uhai wangu, nakataa kutishwa na utawala wa uoga, Dunia inatazama"
View attachment 3194077
Muhoozi katika hatua nyingine amesema lilikuwa ni wazo lake na Majenerali wenzake kumshawishi Rais Museveni kumtumia Bobi Wine kama pandikizi la kumuondolea nguvu Kiza Besigye na kumfanya asiwe Kiongozi wa upinzani mwenye nguvu Uganda huku akisema baada ya kumpa pesa nyingi Bobi Wine na akapata nguvu na umaarufu aliwageuka na kuanza kuwatukana yeye na Baba yake "Kabla sijakukata kichwa Bobi Wine rudisha pesa zetu tulizokukopesha"
View attachment 3194081
Muhoozi pia amesema "Nikiwa ni CDF nawaagiza Wanajeshi wote na Mamlaka nyingine za Usalama kumkamata Bobi Wine (hata kwa kutumia nguvu na vurugu ikiwezekana) pale tu atapomtukana Rais Museveni, Mimi CDF na Wanafamilia wote wa Museveni kwenye tukio lolote hadharani"
View attachment 3194084

Pia, Soma:

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi

General Muhoozi: Sitagombea Urais 2026, nitamuunga mkono Yoweri Museveni kwenye uchaguzi
Isee kuna nchi ni mali binafsi za watu.
 
Imekua ni kawaida yake kutishia watu au mataifa jirani yawezekana akili zake zina shida mahali
 
Huyo Muhoozi ana matatizo ya akili kupitia post zake huko X unaligundua hilo ukiwa makini.

Ila kwa sababu ni nchi ya kifamilia ila haiwezekani mtu akapanda cheo hadi kuwa mkuu wa majeshi wa nchi halafu akawa mjinga kiasi hicho asijue kipi cha kuongea na wapi pa kuongea.
 
Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema Mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo amesema Museveni asingekuwepo angemkata kichwa Bobi Wine na kwamba hata Bobi Wine mwenyewe hilo analijua.

Muhoozi ameandika hayo kwenye akaunti yake ya X (zamani Twitter) ambapo Bobi Wine amemjibu na kusema “Kitisho cha Mtoto wa Museveni (ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Uganda) la kunikata kichwa sio kitu ninachokichukulia kwa wepesi hasa ukizingatia kwamba Watu wengi wameuawa na yeye na Baba yake na kwa kuzingatia pia majaribio kadhaa ya kuondoa uhai wangu, nakataa kutishwa na utawala wa uoga, Dunia inatazama”

Muhoozi katika hatua nyingine amesema lilikuwa ni wazo lake na Majenerali wenzake kumshawishi Rais Museveni kumtumia Bobi Wine kama pandikizi la kumuondolea nguvu Kiza Besigye na kumfanya asiwe Kiongozi wa upinzani mwenye nguvu Uganda huku akisema baada ya kumpa pesa nyingi Bobi Wine na akapata nguvu na umaarufu aliwageuka na kuanza kuwatukana yeye na Baba yake “Kabla sijakukata kichwa Bobi Wine rudisha pesa zetu tulizokukopesha”

Muhoozi pia amesema “Nikiwa ni CDF nawaagiza Wanajeshi wote na Mamlaka nyingine za Usalama kumkamata Bobi Wine (hata kwa kutumia nguvu na vurugu ikiwezekana) pale tu atapomtukana Rais Museveni, Mimi CDF na Wanafamilia wote wa Museveni kwenye tukio lolote hadharani”
 
Kwamba hizi ni tweets za account genuine ya Bwana CDF?
Akaunti yake rasmi hiyo na siyo mara ya kwanza kuzua taharuki. Huwa haupiti mwezi bila vijoja vya huyo mwamba, nadhani Museven anadhihirisha kuwa hafai kuwa Rais, kama familia imemshinda angeweza vipi kuiongoza Uganda!? Uganda inajiendea tu kwa nguvu za dola.
 
View attachment 3194087Mkuu wa Majeshi nchini Uganda (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni Mtoto wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, amesema mtu pekee anayemzuia kumshughulikia Mwanasiasa mashuhuri wa Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) ni Baba yake Rais Museveni ambapo amesema Museveni asingekuwepo angemkata kichwa Bobi Wine na kwamba hata Bobi Wine mwenyewe hilo analijua.
View attachment 3194074
Muhoozi ameandika hayo kwenye akaunti yake ya X (zamani Twitter) ambapo Bobi Wine amemjibu na kusema "Kitisho cha Mtoto wa Museveni (ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Uganda) la kunikata kichwa sio kitu ninachokichukulia kwa wepesi hasa ukizingatia kwamba Watu wengi wameuawa na yeye na Baba yake na kwa kuzingatia pia majaribio kadhaa ya kuondoa uhai wangu, nakataa kutishwa na utawala wa uoga, Dunia inatazama"
View attachment 3194077
Muhoozi katika hatua nyingine amesema lilikuwa ni wazo lake na Majenerali wenzake kumshawishi Rais Museveni kumtumia Bobi Wine kama pandikizi la kumuondolea nguvu Kiza Besigye na kumfanya asiwe Kiongozi wa upinzani mwenye nguvu Uganda huku akisema baada ya kumpa pesa nyingi Bobi Wine na akapata nguvu na umaarufu aliwageuka na kuanza kuwatukana yeye na Baba yake "Kabla sijakukata kichwa Bobi Wine rudisha pesa zetu tulizokukopesha"
View attachment 3194081
Muhoozi pia amesema "Nikiwa ni CDF nawaagiza Wanajeshi wote na Mamlaka nyingine za Usalama kumkamata Bobi Wine (hata kwa kutumia nguvu na vurugu ikiwezekana) pale tu atapomtukana Rais Museveni, Mimi CDF na Wanafamilia wote wa Museveni kwenye tukio lolote hadharani"
View attachment 3194084

Pia, Soma:

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu katika vuta n'kuvute na polisi

General Muhoozi: Sitagombea Urais 2026, nitamuunga mkono Yoweri Museveni kwenye uchaguzi
Kwanza hawezi kuwa Rais.

Huko ndiko kina Lisu wanatakiwa kwenda kufanya siasa Sasa 😁😁
 
Huyu ikitokea ndio Rais Waganda watapata shida sana
 
Huo CDF kama ndo huku usukuman alikuwa ni wa kutandika fimbo tu
 
Back
Top Bottom