Ila watoto na wake wa wenzie ndio wanastahili kufa?Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Umeshashtakiwa?..umeshapata bajaj?[emoji1787]
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Ila watoto na wake wa wenzie ndio wanastahili kufa?
Ilimtengenezea passport??? Sidhan km alikua Hana passport...baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.
..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.
..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
Ilimtengenezea passport??? Sidhan km alikua Hana passport.
Inaonekana haufuatilii siasa na matukio kwa yale yanayoendelea Uganda ndugu, hilo tukio picha zake zilizagaa mitandaoni.Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Hivi urais ni wa familia au muhusika? Watotowake ndio watakuwa mawaziri au? Presidency is about yeye. Sio familia yake.Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!
The biggest lie the devil has ever pulled ni kuwa convice watu kuwa he doesnt exists.Ni kweli sikatai Rais Museveni anaweza kuwa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila na huyu Mpinzani wake Bobi Wine anatumika vibaya na Wahuni.
Thats not his concern. Kila mtu ana right ya ku protect familia yake kwa uwezo wake anao jua yeye.Ila watoto na wake wa wenzie ndio wanastahili kufa?
Afrika yeyeto tu anaweza kuwa raisi.
ccm hawanaga akili hiyo, wasameheNi watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Amekurupuka!! atakuwa alikula maharage ya mbeya!! hajui hata kinachoendelea!!Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Walinifanya nikaenda NIT kupata mafunzo ya udereva ili nikipatiwa Noah yangu ma traffic wasinisumbue..Pia tuliambiwa Acacia watatulipa usd 191 billion na kila Mtz atapata gari Noah.
..Nalo litatimia lini?
Sasa hivi anaishia kushindia kashata na maji ya kandoro tu dadeeku..umeshapata bajaj?[emoji1787]
Uwezo wa Bobi ni mkubwa kuliko Museveni, na hata elimu yake inamruhusu. Hivi karibuni Bobi alihojiwa na BBC uso kwa uso ndipo alipoonesha uwezo wake wa siasa na kujibu anachoulizwa.Najua Waganda wamemchoka Babu Mu 7, lakini kuongozwa na Bobi wine nisingewashauri.
Umewahi ona wapi duniani dikteta yeyeto akawa na reasoning capacity.Uwezo wa Bobi ni mkubwa kuliko Museveni, na hata elimu yake inamruhusu. Hivi karibuni Bobi alihojiwa na BBC uso kwa uso ndipo alipoonesha uwezo wake wa siasa na kujibu anachoulizwa.
Kwa akili ya kitoto huwezi tambua maana ya maneno yaleNakumbuka alisema Acacia watatushtaki
Nalo litatimia lini?