Bobi Wine naye ni wale wale?

Bobi Wine naye ni wale wale?

Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Ila watoto na wake wa wenzie ndio wanastahili kufa?
 
Ni nani atawaokoa watoto wa wafuasi wake?tafakari
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
 
Watu wanasafirisha tu wake zao kama wanaume walivyo wasafirisha Lisu na Lema.
 
..baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.

..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.

..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
Ilimtengenezea passport??? Sidhan km alikua Hana passport.
 
Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Inaonekana haufuatilii siasa na matukio kwa yale yanayoendelea Uganda ndugu, hilo tukio picha zake zilizagaa mitandaoni.

Mfano watch this clip👇uone jamaa anavyopata dhoruba.

 
Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!
Hivi urais ni wa familia au muhusika? Watotowake ndio watakuwa mawaziri au? Presidency is about yeye. Sio familia yake.
 
Ni kweli sikatai Rais Museveni anaweza kuwa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila na huyu Mpinzani wake Bobi Wine anatumika vibaya na Wahuni.
The biggest lie the devil has ever pulled ni kuwa convice watu kuwa he doesnt exists.
The same tacticts inatumika na african politicians... kuwa convice watu kuwa kila mpinzani anatumika.

That is biggest bullshit ever.
 
Ila watoto na wake wa wenzie ndio wanastahili kufa?
Thats not his concern. Kila mtu ana right ya ku protect familia yake kwa uwezo wake anao jua yeye.
You cant save everybody. Na si dhambi kupeleka familia yako nje.. si ushamba.
 
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
ccm hawanaga akili hiyo, wasamehe
 
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Amekurupuka!! atakuwa alikula maharage ya mbeya!! hajui hata kinachoendelea!!
 
..Pia tuliambiwa Acacia watatulipa usd 191 billion na kila Mtz atapata gari Noah.

..Nalo litatimia lini?
Walinifanya nikaenda NIT kupata mafunzo ya udereva ili nikipatiwa Noah yangu ma traffic wasinisumbue
 
Uwezo wa Bobi ni mkubwa kuliko Museveni, na hata elimu yake inamruhusu. Hivi karibuni Bobi alihojiwa na BBC uso kwa uso ndipo alipoonesha uwezo wake wa siasa na kujibu anachoulizwa.
Umewahi ona wapi duniani dikteta yeyeto akawa na reasoning capacity.
Mtu mwenye akili hawezi ua mtu,ibia wananchi, kuabudiwa.
 
Back
Top Bottom