Kwahiyo walitumia Stun Grenade kwa lengo gani?Kasome kuhusu stun grenade. Mimi sipo hapa kiushabiki ndugu yangu. Jifunze kufanya research kabla ya kuandika kitu kitakachoweza kushusha heshima unayopewa na watu!
Hata hapa tz Polisi waliokoa, waongo kama Bashiru wanasema eti mabalozi wa nyumba kumi wamesababisha ushindi, wenyewe hawana habari!!!!Nilisikia kampeni zimesimamishwa Uganda kwenye miji mikubwa eti sababu ya Corona, Museveni anatetemeka sana, huyo Bobi anaenda kuchukua ile nchi hatanii, labda polisi ndio wamuokoe Museveni.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
[emoji16][emoji16][emoji16] jamaa Ni big brain..baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.
..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.
..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
[emoji16][emoji16]..Pia tuliambiwa Acacia watatulipa usd 191 billion na kila Mtz atapata gari Noah.
..Nalo litatimia lini?
Limetimia lini !? Umeshapewa hata baiskeli ??? [emoji16]Angalau hili linatimia japo kidogo kuliko ndoto uchwara za Lissu
Pengine hili litakufanya uelewe unaongea na nani. Nina miaka 10 mbele yako hapa JF hivyo natambua utoto wakoJf bwana unaweza kuona kakijana ka miaka 24 kanakuita mtoto
Kwani Bob wine anatatizo gani ..?? Unaweza ukatoa sababu za msingi ambazo zinatoka ndani ya katiba ya Uganda zinazo pinga Bob wine kuwa raisi wa Uganda !? Hana elimu stahiki !? Hana thinking capacity ya kutosha .. jambazi " muhaini..au anatatizo gani ambalo wewe mwenzetu unalijua na sisi hatulifahamu .. tufahamishe Basi !!!Nimekwambia hakuna upinzani ndo mana M7 anamsogeza mwanae akiachia?,Kwahiyo Uganda president awe Bobbi Wine?
Kuwa na akili M7 kumrudisha huyo dogo Hiyo nafasi ana lake jambo. Alishashika hiyo nafasi before,akapewa uwaziri akarudishwa CDF yupo Besigye Kiiza, naye fala tu, huyu Bobbi ni mvuta bangi tu aliyestaafu,then unategemea wamtoe M7 revolutionary hero wa Uganda unaota.
[emoji16][emoji16][emoji16] kwanza kiongozi wa kiserikali inakuwaje unatumia matabaka ya kimakabila kubagua watu wengine ktk taifa !?We naye cjui umekariri wapi!! Who is Muhoozi btw? Kafika pale sababu ya kubebwa na babake but he's overrated. Nipe successful mission yake hta moja zaidi ya kutumika tu kuua powerful generals waliotishia himaya ya M7.
BTW baada ya mafuriko ya Bobi Wine huko Ankole regions huyo Muhoozi alianza kulialia Twitter kwamba kabila lake lisimchague Bobi. Toka lini kiongozi wa special forces ukapiga campaign za kichama?
Empty set [emoji3]We fala sipotezi muda kubishana hapa
[emoji122][emoji122][emoji122]Wewe unataka kulazimisha jambo ambalo haliwezekani [emoji23][emoji23][emoji23]. Siku nyingine ficha ujinga wako.
Sasa kama familia yake haipo kwenye usalama afanye nini, wabongo banah, usiombe uingie kwenye harakati halafu ukawa unafuatiliwa, lissu tu anaweza kuelewa na wana harakati wengine waliopitia hilo, hata mimi ningefanya sawa alivyofanya yeye.
Atakuwa anawapeleka wapi? Ubelgiji pia? Atakuwa Kama wale wengine.Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Sasa muda uliojiunga jf unawezaje kukufanya uwe tofauti kwenye ku reason vitu, halafu kumbe umejiunga 2017,achana na vihoja vidogo vidogo mtu asipokuelewa achana nae kuliko majibizano na kutumia nguvu nyingi akuelewePengine hili litakufanya uelewe unaongea na nani. Nina miaka 10 mbele yako hapa JF hivyo natambua utoto wakoView attachment 1673540View attachment 1673541View attachment 1673542
Kwa akili yako ndogo unatazama umri wa mtu kwa muda wa kuingia JfPengine hili litakufanya uelewe unaongea na nani. Nina miaka 10 mbele yako hapa JF hivyo natambua utoto wakoView attachment 1673540View attachment 1673541View attachment 1673542
Sasa kwa akili zako za ufipa unadhami huyu mvuta bang anaweza kuwa rais wa UgandaWewe ni mtu umeenda shule kabisa babako akalipa ada kabisa n akajiridhisha pesa yake haikupotea kabisa. Yani m7 ampe mwanae kuongoza nchi? Uganda hakuna wengine zaidi ya mwanae. Mtu kakaa madarakani toka 1986 leo amwachie mwanae nae apige mpaka 2090 huko au [emoji23][emoji23][emoji23]
Mawili either Rudi shule au kadai ada yako. ni akili za punguani tu anayeweza kufikiria hili.
NdioLimetimia lini !? Umeshapewa hata baiskeli ??? [emoji16]
Una kitu kichwani nimefatilia mtanange wako na jamaaWewe unataka kulazimisha jambo ambalo haliwezekani [emoji23][emoji23][emoji23]. Siku nyingine ficha ujinga wako.
Alishangaza sana watu, huku tunasema CCM ni chama dola ila NRM ni zaidi ya chama dola. Yaani mtu ni Generali kabisa wa jeshi ila anavaa T shirt za chama tawala na anapiga kampeni jukwaani.[emoji16][emoji16][emoji16] kwanza kiongozi wa kiserikali inakuwaje unatumia matabaka ya kimakabila kubagua watu wengine ktk taifa !?