Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Bob Wine ni chumia tumbo kama Tundu Lisu?Najua Waganda wamemchoka Babu Mu 7, lakini kuongozwa na Bobi wine nisingewashauri.
Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Nimeona comment yako nikakumbuka Mambo ya Mnangagwa mwaka ule wa mapinduzi ya kumwondoa Mgabe.Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!
Kiazi kweli were!Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Habari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.Museveni kwisha habari yake
📌Najua Waganda wamemchoka Babu Mu 7, lakini kuongozwa na Bobi wine nisingewashauri.
Tena kushulikiwa vibaya mna...hHabari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
KudosNi watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.
NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Shetani hajawahi kumshinda MunguHabari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
Ni kweli sikatai Rais Museveni anaweza kuwa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila na huyu Mpinzani wake Bobi Wine anatumika vibaya na Wahuni.SIASA ZA AFRIKA SHIDAA
Yuleeeeeee
Endeoeen kuuana tu
una elimu gani mkuu ?Tena kushulikiwa vibaya mna...h
Km huyo bobi wine ni cocaine zinamwendesha
Haiusiani mkuu...una elimu gani mkuu ?