Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna ujualo mkuu! Unaongelea mambo ya Kabaka wa miaka ya 1800 uliesoma kwenye history ya form 4?Sijui unaulizia nn? Nimesema yote hapo juu. Sasa kwa taarifa yako huyo bobi mnayemuona kichaa mvuta bangi ana support kubwa sana. Tena nyingine ni fiche ndani ya buganda kingdom subiri kiwake uone kabaka atakaposema neno mitaani kutakuwaje? M7 pamoja na yote anaheshimu n kumlinda sana kabaka yule jamaa akisema neno dk.0 uganda haitawaliki.
Uje na facts sio ushabiki.wa simba na.yanga kama wapuuzi wengine hapo.juu
Ni kwamba M7 kamuweka mwanae ndio mkuu wa kikosi maalumu katika jeshi la uganda na kikosi hicho ndio kicho husika na ulinzi wa rais M7. Kwa hatua hiyo hayo ni maandalizi ya Museven kumwachia madarka mwanae.
Itafika hatua Museven atachoka kimwili na kiakili kisha wataunda zengwe na mwanae ili mwanae ajifanye anampindua babaake na hapo ndio mchakato wa kupasishana urais utakapofanyika.
Bobi yule washabiki wake wahuni kama wale wale wanaojazana kwenye matamasha ya muziki wa Diamond tu. Na si ajabu hata kupiga kura hawaendi.
Ndio kusema Lisu na Bobi wine hawatofautiani.