Bobi Wine’s blood samples have tested positive for Dimethylmercury, a category 2 slow killing poison

Bobi Wine’s blood samples have tested positive for Dimethylmercury, a category 2 slow killing poison

Jiwe ndio nini?
Hii nimeikuta mahali: Inaelezea Jiwe ni nani!
C&P
Ilisha semwa tangu mwanzo kua mdomo uliponza kichwa,au ulimi ni kiungo kidogo sana ila madhara yake ni makubwa.

Mtu yeyote asie chunga mdomo wake,hata heshimika na yeyote katika jamii take bila kujali cheo chake.

Jiwe alianza kwa tambo nyingi sanaaa,mara yeye hajiribiwi,mara awaite wenzie vilaza,mara aseme ye sio mwanasiasa!!.yote hayo hayakumtosha.

Akaanza kujipa majina sasa,KIONZI WA MALAIKA,JIWE,MZILANKENDE yote hayo hakuridika hatimae leo amesema yeye ni KICHAAA.hivi bado lipo jina lingine ambalo amekisha kujiita zaidi ya hilo la KICHAA?.

Kiongozi asie tambua mahali ,wakati na hadhira ya kuzungumzia jambo anafaa kwa lipi sasa?.
 
Hii nimeikuta mahali: Inaelezea Jiwe ni nani!
C&P
Ilisha semwa tangu mwanzo kua mdomo uliponza kichwa,au ulimi ni kiungo kidogo sana ila madhara yake ni makubwa.

Mtu yeyote asie chunga mdomo wake,hata heshimika na yeyote katika jamii take bila kujali cheo chake.

Jiwe alianza kwa tambo nyingi sanaaa,mara yeye hajiribiwi,mara awaite wenzie vilaza,mara aseme ye sio mwanasiasa!!.yote hayo hayakumtosha.

Akaanza kujipa majina sasa,KIONZI WA MALAIKA,JIWE,MZILANKENDE yote hayo hakuridika hatimae leo amesema yeye ni KICHAAA.hivi bado lipo jina lingine ambalo amekisha kujiita zaidi ya hilo la KICHAA?.

Kiongozi asie tambua mahali ,wakati na hadhira ya kuzungumzia jambo anafaa kwa lipi sasa?.
Insha yote ya nini sasa?
 
Najua vinauma! Ukiwa na ndugu yako mgonjwa, ukisikia mtu anaongelea kifo , unashituka! Nafurahi umeelewa. Jiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Huna lolote wewe kibwengo.
 
Una inajisi hiyo picha ya Nondo unayotumia kama avatar
 
Back
Top Bottom