Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.Mseven is now restless, Bobi Wine anamshughulisha balaa
Yeye mseven mbona hakuchukua cheki kipindi akiwa guerrilla fighter?Bobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.
mu7 kwisha habari yake, nyuma ya bob kuna mq chekibobu wengiBobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.
Ninaimani kabisa historia ya uganda huielewi vizuri mkuu.Yeye mseven mbona hakuchukua cheki kipindi akiwa guerrilla fighter?
Nipatie mkuu niijue, ila nnachojua ameingia madarakani 1986, kwa mtutu wa bundukiNinaimani kabisa historia ya uganda huielewi vizuri mkuu.
Majeshi ya museveni yalikyiko somalia ameanza kuyarudisha battle hardened soldiers. Hakuna cha jabuanyi wala boby wine,halafu na sisi tutamsaidia na wanyarwanda hawatabaki nyuma.mu7 kwisha habari yake, nyuma ya bob kuna mq chekibobu wengi
Baada ya Obote Uganda ilifanywa uwanja wa fujo mpaka tulipoingilia na kumrudisha Obote tulipoondoka vurugu zikatokea tena vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka tulipomsimika Museveni Uganda ikawa Shwari mpaka walipogundua mafuta ndio unaanza kusikia sijui jabulanyi sijui nini.Nipatie mkuu niijue, ila nnachojua ameingia madarakani 1986, kwa mtutu wa bunduki
Umesema historia ya Uganda kwa kumuita Mseven "guerrilla fighter"! Ebu soma hapa chini kidogo[emoji116]Baada ya Obote Uganda ilifanywa uwanja wa fujo mpaka tulipoingilia na kumrudisha Obote tulipoondoka vurugu zikatokea tena vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka tulipomsimika Museveni Uganda ikawa Shwari mpaka walipogundua mafuta ndio unaanza kusikia sijui jabulanyi sijui nini.
halafu na sisi tutamsaidia