Bobi Wine's message to Museveni about giving money to Ghetto Yuti

Bobi Wine's message to Museveni about giving money to Ghetto Yuti

Unaposema na sisi tutamsaidia una maana gani? Sisi meaning jeshi la Tanzania? Kuna justification gani kwa sisi kwenda kupigana Uganda kwa mara ya pili ili hali Waganda wenyewe wanaweza kumuondoa nduli wao!!! Tulipigana mara ya kwanza kuwakomboa kwasababu Amin alivamia nchini mwetu!!!This time aound hatuna nia wala sababu kwa vijana wetu kwenda huko.
Viko vitengo vingi dogo vitengo maalum kwa shughuli za maslahi ya taifa.
 
Unaposema na sisi tutamsaidia una maana gani? Sisi meaning jeshi la Tanzania? Kuna justification gani kwa sisi kwenda kupigana Uganda kwa mara ya pili ili hali Waganda wenyewe wanaweza kumuondoa nduli wao!!! Tulipigana mara ya kwanza kuwakomboa kwasababu Amin alivamia nchini mwetu!!!This time aound hatuna nia wala sababu kwa vijana wetu kwenda huko.
Tutamsaidia kwa kuwa ni mwenzetu kwanza kapitishia bomba la mafuta kwetu. Pia kama hujui hata sasa hivi askari wetu wapo wengi tu wanafanya kazi kwenye jeshi lake.
 
kwenye jeshi lake.

Hao ni mercenaries [mamluki] kama ni askari wa Tanzania wanafanya kazi kwenye jeshi la Uganda!! Kupitisha bomba la mafuta ndio iwe gharama ya kupeleka askari wetu wakafe Uganda? You must be having a mercenary mentality!!!
 
Angalia hiyo video kama nilivyosema jana huyu dogo akubali kukaa na Mzee avute cheki yake.
Ndo tatizo letu waafrika wa kizazi hiki kufikiria "kuvuta cheki" kwa maslahi ya matumbo yetu, kama wazee wetu wangevuta cheki tungekuwa bado tuko kwenye mikono ya mabeberu, kina Mandela hawakushindwa kufanya vile ili washibe wao ila lengo lao lilikuwa kwa maslahi ya taifa/jamii, tofauti na kinachotokea hata hapa nchini, mtu hajali wananchi waliojipanga juani kwenda kumpigia kura ili awe mwakilishi wao kwa kumwamini kabisa, from nowhere mtu anakwambia nimeona niunge juhudi "za mtu mmoja" badala ya maelfu waliomchagua, kizazi hiki kimelaaniwa kwa kuendekeza njaa, naona na wewe unaunga mkono kwamba Bobi Wine apewe cheki na aunge mkono juhudi za Mseveni kuwakandamiza waganda, Afrika Mashariki tumeingia kwa haraka katika utumwa wa nafsi, "mental enslavement. Ngoja tutengeneze historia kwamba kuliwahi kuwa na kipindi cha kuunga mkono, tumuombe Bobi asiwe "Waitara, Mtatiro, Mtulia au Karanga" wa waganda, sijataja madiwani
 
Ndo tatizo letu waafrika wa kizazi hiki kufikiria "kuvuta cheki" kwa maslahi ya matumbo yetu, kama wazee wetu wangevuta cheki tungekuwa bado tuko kwenye mikono ya mabeberu, kina Mandela hawakushindwa kufanya vile ili washibe wao ila lengo lao lilikuwa kwa maslahi ya taifa/jamii, tofauti na kinachotokea hata hapa nchini, mtu hajali wananchi waliojipanga juani kwenda kumpigia kura ili awe mwakilishi wao kwa kumwamini kabisa, from nowhere mtu anakwambia nimeona niunge juhudi "za mtu mmoja" badala ya maelfu waliomchagua, kizazi hiki kimelaaniwa kwa kuendekeza njaa, naona na wewe unaunga mkono kwamba Bobi Wine apewe cheki na aunge mkono juhudi za Mseveni kuwakandamiza waganda, Afrika Mashariki tumeingia kwa haraka katika utumwa wa nafsi, "mental enslavement. Ngoja tutengeneze historia kwamba kuliwahi kuwa na kipindi cha kuunga mkono, tumuombe Bobi asiwe "Waitara, Mtatiro, Mtulia au Karanga" wa waganda, sijataja madiwani

Ushauri wangu mimi binafsi Bobi wine asiichezee hiyo bahati akubali kuvuta mshiko wake kimya kimya meneja wa kampuni ya mafuta ya Total hawezi kumuacha huyo dogo aiingize biashara yao yamabilioni ya dola iingie doa,kwanza yeye bado ni mdogo ana maisha marefu mbele yake.
 
Mbowe ni coward kiwango cha dreamliner
Katika jarida la forbes Mbowe ndie mpinzani aliyeficha fedha nyingi nje ya nchi fedha ambazo ni za Ruzuku kuliko Etienne Tshisekedi wa Kongo rip combined.
 
Katika jarida la forbes Mbowe ndie mpinzani aliyeficha fedha nyingi nje ya nchi fedha ambazo ni za Ruzuku kuliko Etienne Tshisekedi wa Kongo rip combined.
Naomba chanzo cha data zako tafadhali.
 
Bobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.
Sifahamu sana ukweli kuhusu siasa za UG na ukweli au uhalisia kuhusu tabia ya mseveni. Ila Aliyekuambia wauaji wakitoa cheki wanaghairi kuua ni nani? Kama unaamini atauwawa basi mshauri afe huku anapigana si ahongwe halafu ndo afe. Tena kufa huku hakuna public attention ts much more easy than vice versa.
 
Back
Top Bottom