JOKEROO
Member
- Sep 21, 2019
- 8
- 9
Kuna Gasho mmoja niwahi mwona Temeke,yeye kila kitu anacho natural(tako,hips na matiti)Unachekesha wewe, manyonyo wanapandikiza tu kama makalio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Gasho mmoja niwahi mwona Temeke,yeye kila kitu anacho natural(tako,hips na matiti)Unachekesha wewe, manyonyo wanapandikiza tu kama makalio
Eeeh Umekuja kutetea wenzio... SawaUsije shangaa ukatangulia wewe
Alijifanyiwa upandikizaji hayoKama ni mwanaume hayo maziwa na kifua mbele katoa wapi
Aisee, huyo ni mwanamke kabisa, hakuna kidume wa hivo, tupia picha akiwa kavaa kiume tuone
TransgenderKama ni mwanaume hayo maziwa na kifua mbele katoa wapi
Aisee, huyo ni mwanamke kabisa, hakuna kidume wa hivo, tupia picha akiwa kavaa kiume tuone
Atakuwa nayo bana. Ila sidhani kama itakiwa na ladha yoyote.Na yule nae papuchi anayo kweli?
Kwani ana mke?!. I don know much about her.Hivi mke wake amezaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mgosi nilienda Kwa Raju Zenji nikakutana na kitu hicho.. Kama sio uzoefu ningejibebea lishoga bila kujua[emoji87][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mja wa laanaJina lake la kuzaliwa ni Okuneye Idris mzaliwa wa Lagos Nigeria
Lakini jina lake maarufu mitandaoni ni "Bobrisky" huyu ndo malkia maarufu sana huko snapchat na pia instagram anayetrend sana
Huyu ni mwanaume lakini ukimtazama ameamua kujibadilisha na kuwa kama mwanamke
Huyu ndo shoga tajiri zaidi africa akimiliki magari ya ghali zaidi majumba ya kifahari na biashara za vipodozi,mawigi na kope
Aliwahi kusema kuwa yeye anatoka na tajiri maarufu zaidi Africa lakini siku zote amekua akijiepusha kumuanika mpenzi wake hadharani
Pia inadaiwa mama yake mwanzo alikua akipinga hatua hiyo ya mwanae lakini hivi sasa amekua akimsapoti kila hatua ya mwanae
Huyo ndo bobrisky shoga tajiri zaidi Africa View attachment 1214831View attachment 1214832View attachment 1214833View attachment 1214834View attachment 1214835View attachment 1214836View attachment 1214837View attachment 1214839View attachment 1214843
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii birian tamu kabisa hii... Naikula kama sijui vile
Jiongeze brazaDhamira ya kuweka uzi huu ni nini
Mmmmh nyinyi mnao oppose motion ndio moto wa kuotea mbali...Lijamaa lina mke Mikocheni limepangia shoga Mtongani.Na wewe unataka kufwata nyayo zake?
Mtu yoyote anaeongelea habari za mashoga ana walakini,either ni mmoja wao au anatamani kuwa kama wao
DID YOU KNOW?Gays wa mbele[emoji23][emoji23]
Mungu aunusuru mchango wanguView attachment 1214867
Mmmmh nyinyi mnao oppose motion ndio moto wa kuotea mbali...Lijamaa lina mke Mikocheni limepangia shoga Mtongani.
Yani yeye mwenyewe tu anajipamba kama mwanamkeDID YOU KNOW?
Huyu jamaa wanamuita james charles anavyosema yy ni gay but virgin na atakufa virgin .ni maarufu sana kwa kujipiga makeup huko mitandaoni hasa youtube .