Simba msimu huu hawajafungwa na timu yoyote ya Zambia magoli 5 au 10,siwezi bishana na ww mana unaonekana hata siyo mfuatiliaji umejawa na ushabiki mandazini baada ya Bocco kukosa penalti na ushindi hapa bongo na Simba wakapoteza momentum and morale, walioenda Zambia wakafungwa tano...
kuna tofauti gani kati ya kufungwa tano na kumi?
Una chuki binafsi na kaptein sio bure, na hutokuja mpenda john bocco maisha yako yote, akina ronaldo, messi, neymar, wanakosa penati sembuse bocco, emu kuwa na heshima mkuu. Kama humpendi mtu kaa kimya kuliko kuonesha chuki waziwazi
kuna kitu kinaitwa clutch moment, kinawahusu sana wachezaji wakubwa, wanaolipwa hela nyingi kwenye timu, ma kapteni n.k.
clutch moment ni ule muda mahsusi ambao timu yako inakutegemea ufanye mambo makubwa
huyu mtu kakosa penalti iliyoua momentum ya Simba dhidi ya TP Mazembe uwanja wa nyumbani, kabla ya kwenda kupigwa goli kumi kule Zambia...
anakuaje mchezaji wa mwezi anaepamba kurasa za habari na forums?
kwa nini Watanzania huwa tuko comfortable na kushindwa shindwa? tufike mahali tukatae mediocrity
mambo shadeeyaEti Shadeeya FC. LOL.
Umesahihishwa lakini bado haubadiliki.Weye ni mzigo.ni baada ya Bocco kukosa penalti na ushindi hapa bongo na Simba wakapoteza momentum and morale, walioenda Zambia wakafungwa tano...
kuna tofauti gani kati ya kufungwa tano na kumi?